Je, kuna ubaya Tanzania ikavikwapua na kuvifanya visiwa vya Comoro sehemu ya Tanzania?

Hahaha, sio kutawala, ni kuungana tu, kama Zanzibar na Tanganyika ilivyokuwa...

Zanzibar na Tanganyika hakuna muungano, bali Tanganyika anaitawala Zanzibar kimabavu.
Tunaweza kushirikiana na Comoro kibiashara vizuri tu bila ya hata muungano ikiwa patakua na misingi mizuri itakayowekwa.
Hata kwa Zanzibar naamini kungekua na mahusiana mazuri zaidi baina ya Bara na Zanzibar kama uhusiano wetu ungekua upo kwa target za kimaendeleo kama Biashara, Utalii na employment opportunities kiujumla.Kuliko huu muungano wa kijeshi unaoendelea kimabavu unaoendeleza kuzalisha chuki na visasi baina yetu.

Moja ya sifa mbaya ya Binaadamu ni kupenda kumtawala mwenziwe, Sisi tunalia na Wazungu kua wametutawala nawanaendelea kulazimisha kutuendesha lakini tunajisahau sisi wenyewe tunayafanya hayo hayo kwa wenzetu.
 
visiwa vya unguja na pemba mpaka leo vinawatesa ... haya mnataka kuongeza gunia la misumari kichwani... SHUBBAMITTTT hamtaweza
 
Sawa lakini ushirikiano si kibiashara tu, bali kijamii na kisiasa ni muhimu pia, na hii ndio huzaa umja na nguvu ya kweli isiyo na shaka ndani yake, leo hii Afrika ingekuwa nchi moja na yenye Rais mmoja hivi tungekosa kuwa na Permanent membership ya UN security council? Elewa msingi na mantiki ya hoja yangu.
 
visiwa vya unguja na pemba mpaka leo vinawatesa ... haya mnataka kuongeza gunia la misumari kichwani... SHUBBAMITTTT hamtaweza
Vimetushinda vipi wakati umoja umetaradadi, hakuna mtu yeyote anaethubutu kuvichezea vile visiwa sababu ya umoja tulionao, vinginevyo leo tungesikia kuna boko haram, Alshabab na uamsho wamejazana mule.., umoja ni nguvu
 
Vimetushinda vipi wakati umoja umetaradadi, hakuna mtu yeyote anaethubutu kuvichezea vile visiwa sababu ya umoja tulionao, vinginevyo leo tungesikia kuna boko haram, Alshabab na uamsho wamejazana mule.., umoja ni nguvu
black shwainn
 
Vimetushinda vipi wakati umoja umetaradadi, hakuna mtu yeyote anaethubutu kuvichezea vile visiwa sababu ya umoja tulionao, vinginevyo leo tungesikia kuna boko haram, Alshabab na uamsho wamejazana mule.., umoja ni nguvu

Acha kuishi kwa misingi mibovu yapropaganda. Hebu fatilia sababu ya hizo za alshabab na boko haram utafahamu kuwa misingi yake inatokana na utawala mbovu na wa mabavu unaonea watu. Nahilo lipo ndani ya Tanzania ni muda tu ndani ya TZ tutayaona kama hayo.

Na kinachofanya uamini kama Zanzibar kungekua na Alshabab na boko haramu ni nin? au kwakua ni waislamu? Mbona Oman, UAE na Kuwait hakuna?
 

Ndani ya akili yako unafikiri linawezekana hilo kwa Afrika? wangeanza kujifundisha kuachia madaraka vyama tawala wanaposhindwa chaguzi kwanza halafu ndio waanze harakati ya kuwa na nchi moja.
 
Makundi ya kigaidi huwa yanapandikizwa na mabeberu ili kudestabilize sehemu mbali mbali duniani kwa maslahi yao binafsi, mfano kuuza silaha au kuiba madini katika ile.sintofahamu, na huwa wanachagua nchi ambazo ni dhaifu, lakini nchi iliyoungana na kuwa imara haiwezi kuchezewa chezewa kirahisi, ni waarabu walivyokuwa wanaichezea Zanzibar, lakini ilipoingia kwenye umoja na Tanaganyika hakuna hata inzi anaeleta shida kule, ni shwaaaaaari kabisa..., watalii wanamiminika tu.., waulize uamsho wakupe habari kamili..
 
Ndani ya akili yako unafikiri linawezekana hilo kwa Afrika? wangeanza kujifundisha kuachia madaraka vyama tawala wanaposhindwa chaguzi kwanza halafu ndio waanze harakati ya kuwa na nchi moja.
Marekani ambayo leo tunaiona ndio giant walikuwa ni vinchi vidogo vidogo kama sisi, ikabidi ipiganwe vita kubwa sana ya kumaliza utumwa kati ya north na south, lakini hatimae umoja ulipatikana, hata sisi huku lazima tuanze kidogo kidogo.., kama alivyoanzisha Karume na Nyerere mwaka 1964, hadi leo hakuna aliyeweza kufanikisha walichofanikisha hawa wazee..., one day yes...!
 

Labda ungetufahamisha hao waarabu walikua wanaichezea vipi Zanzibar. Na kulikua na shida gani kabla ya huo Muungano na Tanganyika
 
Labda ungetufahamisha hao waarabu walikua wanaichezea vipi Zanzibar. Na kulikua na shida gani kabla ya huo Muungano na Tanganyika
Kulitokea uhuru feki ambapo kuna waarabu flani ndio wakawa wanjidai wanaiendesha nchi kikoloni..., na ndio ikapelekea mapinduzi, sasa wale waliopinduliwa baada ya mapinduzi hawakukubali kirahisi hivyo wakawa wanajipanga kufanya mapinduzi na wao, ndio maana Zenji wakajikabidhisha kwenye mikono salama ya Tanganyika
 
Azali Assoumani (Arabic: غزالي عثماني‎, born January 1, 1959) is a Comorian politician who is the President of the Comoros. He has been in office since 2016. Previously he was President from 1999 to 2002 and again from 2002 to 2006.

President of the Comoros
Azali Assoumani
غزالي عثماني

Azali in 2018
Incumbent
Assumed office
26 May 2016
Vice PresidentAbdallah Said Sarouma (2016-2019)
Djaffar Ahmed Said(2016-2019)
Moustadroine Abdou(2016-2019)[1]
Preceded byIkililou Dhoinine
In office
26 May 2002 – 26 May 2006
Vice PresidentCaabi El-Yachroutu Mohamed
Rachidi ben Massonde
Preceded byHamada Madi (Acting)
Succeeded byAhmed Abdallah Mohamed Sambi
In office
30 April 1999 – 21 January 2002
Preceded byTadjidine Ben Said Massounde (Acting)
Succeeded byHamada Madi (Actin
 

Mkuu ningeshauri ukapitie tena historia ya Zanzibar kwa utulivu. inaonekanwa ulilishwa sana matango pori.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…