Je, kuna ubaya Tanzania ikavikwapua na kuvifanya visiwa vya Comoro sehemu ya Tanzania?

 
Hujaridhuka tu kwa jinsi Zanzibar inavyoitumikisha Tanganyika kwa mgongo wa Tanzania?

Waache Wacomoro wabaki kwao. Zanzibar imetushinda, Comoro tutaiweza?
 
Kama mna hamu sana ya Visiwa basi muombeni Mchina awatengenezee Artificial islands hapo kama alivyofanya yeye
Ila yeye ni kwa ajili ya kujihami kivita
Sisi tutaishia kuweka wavuvi tu, lakini haina shida mradi tuwaache nao na visiwa vyao
 
Huo ujinga hakuna tena, nimegundua hawa Zanzibar ni mzigo mkubwa sana baada ya mama kuingia madarakani, imagine hata umeme hawalipi..

Kwa hiyo tanesco ya Zanzibar wanakusanya mapato wanatumia wenyewe.

Kama vipi kwa nini tanesco isiwalipe commission tu ya usambazaji, lakin wao waendlee kuuza umeme huko kama bara.
 
Hivyo ni artificial islands?
Basi Mchina si mwenzetu!
Ndio mkuu alikuwa anachukuwa mchanga wa baharini na kujaza mpaka ikawa kisiwa
Hizo meli zinazovuta mchanga au kunyonya toka chini ndio balaa

Kweli Mchina ni habari nyingine kwa mambo anayofanya
 
Kwa hiyo tanesco ya Zanzibar wanakusanya mapato wanatumia wenyewe.

Kama vipi kwa nini tanesco isiwalipe commission tu ya usambazaji, lakin wao waendlee kuuza umeme huko kama bara.
Mapato yote wanabaki nayo serikali ya Zanzibar , halafu huku tunaachwa na mgao wa umeme
 
Zanzibar wametuteka sisi hatujawateka.
Maana haki zote za Bara ni zao lakini haki za Zanzibar ni zao peke yao
Hapoo unapopaita Tangayika, yote hiyo ilikuwa Zanzibar kabla ya ujio wa Mjerumani, kumbuka hilo.

Kwa maana hiyo, Zanzibar ndiyo waliotekwa ardhi yao kwa mabavu na Wajerumani. Kwa ushahidi rejea vita vya Bushiri, Mkwawa, Majimaji, Mirambo na vinginevyo.
 
Madam naomba nikuulize kama hutojali!

Karibia kila Uzi niliouona ukichangia wenye mwelekeo wa mgongano wa kimaslahi kati ya Tanganyika na Zanzibar, mara zote umeonekana kuwa upande wa Zanzibar. Kulikoni hivyo? Wewe nawe ni Mzanzibar?
 
Madam naomba nikuulize kama hutojali!

Karibia kila Uzi niliouona ukichangia wenye mwelekeo wa mgongano wa kimaslahi kati ya Tanganyika na Zanzibar, mara zote umeonekana kuwa upande wa Zanzibar. Kulikoni hivyo? Wewe nawe ni Mzanzibar?
Sijauona huo mgongano, mimi ni Mtangannyika.

Nilichokiandika kina mgongano upi au kipi siyo ukweli?
 
Sijauona huo mgongano, mimi ni Mtangannyika.

Nilichokiandika kina mgongano upi au kipi siyo ukweli?
Nikisema umeandika uongo naweza nikakosea, sipo vizuri sana kwenye Historia. Ila ninavyokumbuka, kama nipo sahihi, Sultan wa Zanzibar alikuwa akitawala kama maili kumi hivi ya ardhi ya Tanganyika kutoka mwambao wa bahari ya Hindi. Kwa maana hiyo, mikoa ya sasa ya Dodoma, Singida, Morogoro, Kilimanjaro, Arusha, Kigoma, Kagera, Mwanza, Shinyanga, Tabora, n.k., haikuwa sehemu ya Zanzibar.

Huoni kama unakosea kwa kusema Tanganyika yote ilikuwa ni Zanzibar?
 
Aisee?!! Hapana Waislamu tena?!!! Zanzibar ndo hawa wanatutoa roho na Mudy wao, tuongeze Comoro tena?!!!! NO!
 

Attachments

  • Zanzibar.mp4
    3.4 MB
Hiyo Zanzibar peke yake tunishindwa, tupate na Comoro?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…