Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,371
Mambo vipi wana Jf. Natumai wote mko poa.
Moja kwa moja kwenye mada. Kwenye pitapita zangu kama mnavonijua mimi ndugu yenu nimekutana na jambo moja geni sana kwenye masikio yangu.
Hivi mshawahi kusikia kuhusu uchawi wa kutumia bendera? Yani bendera hizi hizi mfano ya 🇹🇿 Mostly zinazotundikwa mashuleni etc?? Nasikia wanachukua kipande kidogo then wanakichoma mpaka majivu then unachanjwa alafu unapakwa yale majivu.
Jaman kama kuna mtu anajua kuhusu hili please tupeni more info.
Namalizia kwa kusema kama ilivyo muhimu kua na bodaboda wako au bajaji wako hapa mjini vivyo hivyo ni muhimu zaidi kua na mganga wako 😂
wsalaam.
Moja kwa moja kwenye mada. Kwenye pitapita zangu kama mnavonijua mimi ndugu yenu nimekutana na jambo moja geni sana kwenye masikio yangu.
Hivi mshawahi kusikia kuhusu uchawi wa kutumia bendera? Yani bendera hizi hizi mfano ya 🇹🇿 Mostly zinazotundikwa mashuleni etc?? Nasikia wanachukua kipande kidogo then wanakichoma mpaka majivu then unachanjwa alafu unapakwa yale majivu.
Jaman kama kuna mtu anajua kuhusu hili please tupeni more info.
Namalizia kwa kusema kama ilivyo muhimu kua na bodaboda wako au bajaji wako hapa mjini vivyo hivyo ni muhimu zaidi kua na mganga wako 😂
wsalaam.