Habari wakuu,
Hivi kwenye biashara hizi za mitandaoni kama ulilipia fedha mfano nusu ya gharama alafu muuzaji hajakupatia hiyo bidhaa na hata pesa anasumbua kurudisha, ni hatua gani mnunuzi achukue? Je, kuna udhibiti wowote juu ya biashara hizi?
Kama mnunuzi anataka amuwajibishe huyu muuzaji wa mtandaoni anaanzia mamlaka gani? Mf. TCRA au wapi?
Naomba ushirikiano wenu wana JamiiForums.
Au sheria gani inatumika juu ya hali kama hii yenye elements za utapeli.
Hivi kwenye biashara hizi za mitandaoni kama ulilipia fedha mfano nusu ya gharama alafu muuzaji hajakupatia hiyo bidhaa na hata pesa anasumbua kurudisha, ni hatua gani mnunuzi achukue? Je, kuna udhibiti wowote juu ya biashara hizi?
Kama mnunuzi anataka amuwajibishe huyu muuzaji wa mtandaoni anaanzia mamlaka gani? Mf. TCRA au wapi?
Naomba ushirikiano wenu wana JamiiForums.
Au sheria gani inatumika juu ya hali kama hii yenye elements za utapeli.