Maneno Haya Yalitamkwa Na Yesu Katika Kitabu Cha Luka 9, Kupitia Maneno Hayo Ninazungumza Na Dr Laa Je? Kuna Ufahali Gani Ukaupata Ulimwengu Huu Alafu Ukaiangamiza Nafsi Yako, Slaa Umeiangamiza Nafsi Yako Kwa Kuwasaliti Masikini Hawa, Umewasaliti, Wanyonge Hawa, Umewaliti Wagongwa Hawa, Umeusaliti Uma Wa Watanzania Kwa Vipande Selasini Vya Fedha, Kwa Kufanya Hivi Umeiangamiza Nafsi Yako Ili Tu Upate Ufahali Wa Dunia Hii, Na Kwa Kufanya Hivi Hakika Mungu Hatakuacha Utalaamiwa Wewe Na Vizazi Vyake Mpaka Pale Utakapotubu Kwa Machozi Na Mungu Akuepushie Laana Hii Kwani Itawapata Hata Wasio Na Makosa