tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Ninashangaa sana kuona taasisi za Serikali kama BoT, SUMATRA, TANESCO n.k. wafanyakazi wake hawajajiunga na Bima ya Afya ya Taifa.
Wengine wanasema yamkini pesa zao za matibabu zinapigwa sana. Mwingine alidai kuna 10% wanaipata viongozi wa baadhi ya taasisi toka private health insurance firms.
Kwa TANESCO huduma zao za matibabu ziko hovyo na complicated.
Ajabu hata JWTZ hawako NHIF wakati hospitali zao hazijitoshelezi.
Kuna harufu ya ufisadi kwenye hili.
Wengine wanasema yamkini pesa zao za matibabu zinapigwa sana. Mwingine alidai kuna 10% wanaipata viongozi wa baadhi ya taasisi toka private health insurance firms.
Kwa TANESCO huduma zao za matibabu ziko hovyo na complicated.
Ajabu hata JWTZ hawako NHIF wakati hospitali zao hazijitoshelezi.
Kuna harufu ya ufisadi kwenye hili.