Wakuu kwanza nitangulize shukrani zangu hasa unapofikiri kunipatia msaada katika hili.
Kuna kampuni moja kubwa tu hapa kwetu ila kitu kinachosikitisha ni namna inavyohusiana na wafanyakazi wake hasa katika maslahi yao, ila kubwa ninalohitaji msaada kwenu ni kutaka kujua kwamba sheria ya kazi imetoa mianya kwa kiasi gani kwa muajiri kukata mshahara wa mfanyakazi kwa madai ya kwamba fedha ya matumizi ambayo ofisi imekupatia japo matumizi uliyafanya tumeyaona ila Retirement (mrejesho wa matumizi) yako hatujaona hivyo tunakata mshahara wako.
Sasa hapa ofisini imekuwa kama ni njia moja wapo ya kuongeza mapato ya kampuni kwa njia hiyo.
Tafadhari nimezungumza kiufupi sana kimsingi shida haiko kwa wafanyakazi bali shida iko kwa wakuu wenyewe so niombe nisaidie tu kujua Jinsi gani sheria ya Kazi imewapa mianya wakuu wetu kukata mishahara wakati wowote wanapojisikia kwa kigezo cha retirement?
Kuna kampuni moja kubwa tu hapa kwetu ila kitu kinachosikitisha ni namna inavyohusiana na wafanyakazi wake hasa katika maslahi yao, ila kubwa ninalohitaji msaada kwenu ni kutaka kujua kwamba sheria ya kazi imetoa mianya kwa kiasi gani kwa muajiri kukata mshahara wa mfanyakazi kwa madai ya kwamba fedha ya matumizi ambayo ofisi imekupatia japo matumizi uliyafanya tumeyaona ila Retirement (mrejesho wa matumizi) yako hatujaona hivyo tunakata mshahara wako.
Sasa hapa ofisini imekuwa kama ni njia moja wapo ya kuongeza mapato ya kampuni kwa njia hiyo.
Tafadhari nimezungumza kiufupi sana kimsingi shida haiko kwa wafanyakazi bali shida iko kwa wakuu wenyewe so niombe nisaidie tu kujua Jinsi gani sheria ya Kazi imewapa mianya wakuu wetu kukata mishahara wakati wowote wanapojisikia kwa kigezo cha retirement?