Habari.
Sina lengo la kukejeli maumbile ya watu ila ningependa kujua,je kuna uhusiano gani kati ya unene na usingizi.
Ukiangalia watu wanene wanapenda sana kulala lala,iwe kwenye daladala au gari binafsi iwe ofisini au mahala popote huwa wanalala.
Je kuna uhusiano wowote kati ya usingizi na umene.