Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Kuchamba kwingi mwisho hutoka na m---v,.
Nini lengo la kuanza kulichokonoa jeshi? Unataka kutufanya tuwe Kama Kongo sasa,Somalia,afghanistan,Palestine/isitael n.k? Tafadhali nakuomba Sana fanya siasa zako huku uki enjoy uhuru uliopo nchini.Mambo ya kuingiza udini,ukabila,rangi,vyeti jeshini achana nayo.Patachafuka hapa kwa kundi litakalo ona kwamba linaonewa Tanzania haitakua sehemu salama Tena ya kuishi sijui wewe utahamia Burundi.
 
Ondokana na chembe za mada za kujadili ukabila na dini. Karne hii unaongelea vikabila.
 
Wewe acha udini na ukabila Paskali. Hakuna relation yoyote ila naona ninyi wasukuma mlianza kuleta ukabila, mshindwe kabisa.
 
Mambo ya kuingiza udini,ukabila,rangi,vyeti jeshini achana nayo.Patachafuka hapa kwa kundi litakalo ona kwamba linaonewa Tanzania haitakua sehemu salama Tena ya kuishi sijui wewe utahamia Burundi.
Sijaingiza, bali nimeuliza!. Nimesema kwa vile tangu JWTZ imeundwa imewahi kupata CDF mmoja tuu wa pande zile, swali likawa jee hatuna watu wa pande zile wa kutosha hata tuwe na uwiano wa 1/8?!.

Kuna things they just happens naturally and coincidentally bila kupangwa au kudhamiriwa mfano kwenye urais wa JMT, rais akiwa Mkiristu, imetokea tuu akawa ni Mkatoliki, Juliasi alikuwa Mkatoliki, Benjamini Williamu, naye Mkatoliki na Yohana Yosefu naye pia Mkatoliki!. Kukatokea Mlutheri mmoja mkubwa tuu akautamani urais wa JMT, kilichomtokea Mlutheri huyo ndani ya chama chake, kikapelekea mimi kuuliza humu "Rais wa JMT akiwa ni Mkiristu, ni lazima awe Mkatoliki?", uzi ule ulifungwa fasta na kufutwa!, but it was a valid question!. Hivyo hata hili swali la CDF ni valid, tuendelee kuiachia coincidence I play huku watu fulani wakiwa marginalized coincidentally au sasa tuwe conscious na ikibidi itumike affirmative action kuwatendea haki watu hao?.

The only way out to eradicate coincidental injustices is by exposé!, kuongea kuonyesha kuna jambo lipo, halionekani lakini halitendi haki kwa wote, ili lirekebishwe, ili huko majeshini wale jamaa zetu wenye sifa na vingezo vya kuwa CDF nao wawe!

Hili pia lilitokea kwenye urais wa JMT, kwa Rais kutoka Zanzibar, nalo nililizungumza humu
Je, kunahitajika affirmative action ili Mzanzibari aweze tena kuwa Rais wa JMT? . Hali hii iliendelea hadi Mungu alipoingilia kati!. Uje kama Mungu asinge ingilia kati, hata 2025 isingekuwa zamu ya Zanzibar!.

P
 
Mbona umeshasema kwamba yawezekana ni majina tu lakini dini zao zisiwe na uhusiano na majina yao? Lkn cha ajabu mwisho ukahitimisha kwa kufanya conclusion ya kuwa na uhakika kuwa wote ni wakristo?

Hivi kwanini haukuhisi hata huyo Flora labda alikuwa mtoto wa nje wa Abdallah? Au na Anna Abdallah kuwa ni mtoto wa nje wa Abdallah.

Lkn kwa mtu kama ambae nakujua vema Paskali kupitia mabandiko yako, nafahamu kabisa kuwa unajua kuwa General Mabeyo soon ataachia ngazi kwa mujibu wa sheria, hivyo basi unahisi kuwa anaweza fuata General ambae sio muumini wa kanisa kama alivyo General Mabeyo. Unaanza kulialia Pasikali kutoka wasiwasi tu.
 
Mkuu ACHIKOYO , kwanza kabisa, kwa mujibu wa mila na desturi za Kiafrika, kwa Mila zote na makabila yote, mtoto ni mtoto, hakuna mtoto wa nje na mtoto wa ndani, wote ni watoto!.

Pili sio busara na sio ustaarabu kumhisi mtoto yoyote kuwa ni mtoto wa nje kutokana na kuchanganya majina ya Kikristu na Kiislamu kama Asha Rose, Anna Abdalah, Agustino Ramadhan , Agustino Saidi etc.

Na mwisho ni kweli CDF Mabeyo anastaafu soon, kama wa pande zile pia wapo wenye sifa na vingezo, wapewe. Kama hakuna, then tuendelee na utaratibu wa kawaida, watu wale wale, toka pande zile zile na kazi iendelee.
P
 
Najibu kwenye para # 1. Baadhi ya maeneo hasa kwa upande wa makabila mtoto akizaliwa nje ya ndoa baba ana nafasi ndogo sana hata ya kutoa jina la mtoto wake, kwa kawaida hata ulezi wa mtoto aliezaliwa nje ya ndoa unabizi zaidi kwa mama ukilinganisha na upande wa baba, hiyo ndio sababu mkuu Paskali.
 
Mkuu ACHIKOYO , this is one of the greatest injustices inayoletwa na dini na ndoa za kiserikali, mtoto ni mtoto, an innocent victim, asibaguliwe ndio maana kwenye mila zetu kuna baadhi ya mambo mazuri, mtoto ni mtoto tuu, hakuna mtoto wa ndani wala wa nje, na mtoto yoyote akizaliwa na mkeo, haijalishi alipajikwa na nani, ni mtoto wa mwenye mke!.
P
 
Afadhali... kwenye uteuzi wa CDF mpya, hoja za bandiko hili Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
zijibiwe.
P
 
Msichojua ni kwamba list ya watu pendekezwa wa kushika hiyo nafasi ipo tayari kwahiyo mnafanya kuhisi lakini mhusika pengine anajijua anangoja nyota zake nne.
 
Basi Makabila na Dini zingine ziondolewe,Maana hawakidhi vigezo wabaki hao wakakamavu tuu Au sio!!
 
Hebu jaribu tu kulinganisha kati ya mzaramo na mkulya nani anafaa zaidi vitani
Hebu jaribu kulinganisha kati ya mzaramo na mkulya nani ana akili na anafaa zaidi kwenye strategic war reconnaissance?
Unaongelea nguvu au unaongelea akili?

Kama ni nguvu then nini ni chanzo cha binadamu kuwa na nguvu na kwanini binadamu huyu awe na nguvu na mwingine asiwe na nguvu?
Au unataka kusema Americans na wakulya, wakulya wanafaa zaidi vitani? sababu wamarekani hawana nguvu?
Kwa factors zipi?

Mimi ni mzaramo na niamini kama ukiniona subliminally utasema this guy would kick your ass in a minute.
Low thinking capacity na reasoning ndio tatizo hapa.

Cut the hypocrisy stereotyping.
 
Hata ukiangalia kwa jicho la tatu viongozi wa juu sana wa nchi, wenye majina Kama hayo ndo wanaleta Sana maendeleo ya nchi tofauti na hapo ni watu wa kupenda misaada kila kukicha. Yuko radhi atoe rasilimali za billion moja akamwombe msaada Tena huyo mtu laki moja amupe msaada, we chunguza tu, tulikotoka na tunakoenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…