tya02
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 850
- 1,061
Habari zenu Jf Drs na wengineo,
Naombeni mnijuze kwa undani zaidi,ni kweli kwamba njia ya uzazi wa mpango IUD(copper) inaweza sababisha mtu kua na maumivu ya mifupa/synovits/rheumatism/back back pain na joints zote kw mwili mzima?na kama ni kweli nini kifanyike au ni dawa gani mwanamke anayepata hayo maumivu atumie?
Naomba nisiwachoshe sana
Karibuni
Naombeni mnijuze kwa undani zaidi,ni kweli kwamba njia ya uzazi wa mpango IUD(copper) inaweza sababisha mtu kua na maumivu ya mifupa/synovits/rheumatism/back back pain na joints zote kw mwili mzima?na kama ni kweli nini kifanyike au ni dawa gani mwanamke anayepata hayo maumivu atumie?
Naomba nisiwachoshe sana
Karibuni