Chauro nikuulize swali....
Why do women cheats?
Especially kama kila kitu unampa?
ni kweli watu huwa wanapretend au ndo walivo vipi iyo ya pili baba amenyimwa uhuru gani hapo hujafafanua vizuri
Tatizo umeandikwa kwa ku generalize mno
watu tupo tofauti mno.....
Ukisema mwanamke
mfan o 1.. Anatoka familia tajiri au maskini
2.ana elimu ya kiwango kipi?
3.ana uzuri wa kiwango kipi?
4.anatoka culture ipi,mhindi au mwarabu au mchanganyiko au mswahili...?
Hayo ni machache tu...