:confused2::confused2:
mmh sina uhakika ila kuna fununu nilizisikia kama sio hapa hapa JF kuwa wanakuwa na hamu sana wakati huo..........asa cjui ukali huwa ni matokeo kuwa hawawezi saidiwa ile huduma ama vipi?
Lakini wapo hapa hebu watujuvye
una uwongo wewe....sasa ukiwa na hamu ndio unafanyaje na hayo maporomoko....na wengine huwa wanaumwa sana tumbo n.k...nikusaidie kujua siku za hamu?
una uwongo wewe....sasa ukiwa na hamu ndio unafanyaje na hayo maporomoko....na wengine huwa wanaumwa sana tumbo n.k...nikusaidie kujua siku za hamu?
jibu ni ndio :smile-big:
Kwa nini...................kwa sie waume/bf zenu ndio tumesababisha?:confused2:
Kwa nini...................kwa sie waume/bf zenu ndio tumesababisha?:confused2:
Ni kweli. Mtupende zaidi basi na kutusaidia kipindi hicho.
:confused2::confused2:
mmh sina uhakika ila kuna fununu nilizisikia kama sio hapa hapa JF kuwa wanakuwa na hamu sana wakati huo..........asa cjui ukali huwa ni matokeo kuwa hawawezi saidiwa ile huduma ama vipi?
Lakini wapo hapa hebu watujuvye
Wengine ukisema ujitahidi kuvumilia mwenzako ndio anakuwa kama vile amenyweshwa acid sasa kama mtu yuko period and she doesnt even want to see you unafikiri hapo utafanya effort gani, ila infidelity ndio maana zinaanzia sehemu nyingi sana