mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Wakuu kuna jamaa yangu ameingiza mkweche (gari) kutoka kwa mjapani. Sasa kuna wananzengo wanampiga saundi eti apige ribiti kwenye maeneo mbalimbali ya gari kama vile kwenye taa na maeneo mengine yaliyo loose eti ili wajuvi wasipate tamaa ya kuvikwapua vitu ivo.
ivi wakuu kuna ukweli ktk hili au ndo muendelezo wa sanaa na janjajanja za mjini watu wanataka watokemo kupitia huyu jamaa yangu?
mm nimemshauri asiweke maana naona kama ni uharibifu tu ndo unaofanyika pale maana wanatoboatoboa gari kila sehemu na kuiacha gari ina mashimo ya milele.
ivi wakuu kuna ukweli ktk hili au ndo muendelezo wa sanaa na janjajanja za mjini watu wanataka watokemo kupitia huyu jamaa yangu?
mm nimemshauri asiweke maana naona kama ni uharibifu tu ndo unaofanyika pale maana wanatoboatoboa gari kila sehemu na kuiacha gari ina mashimo ya milele.