Umejijibu kwenye kichwa cha mada yako.Kwanini kuwe na ulazima ?
Nipe mifano ikibidi.
pia unaweza kuidevelop from within kama ukiamua kuipenda,mimi nilidhani falsafa ni natural born with trait
Naanzia hapa :
Tangu nakuwa nilikuwa nasikia kuhusu Falsafa na wanafalsafa,mantiki na watu wa maneno.
Maswali kadha wa kadha nikawa najiuliza na mpaka muda huu najiuliza. Rejea kicha cha habari hapo juu.
Je ili nionekane mtu makini katika hojaji na mitazamo iliyopevuka je kuna haja ya kusoma elimu hizo mbili ?
Je kuna haja ya kusoma Falsafa na elimu ya mantiki ili niupate ukweli ?