je kuna usajili wa laptop?

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,191
Reaction score
8,490
mamlaka ya mawasiliano imepitisha usajili wa simu( laini pamoja na simu yenyewe IMEI number) ambayo baadae itawezesha pia kuzuia matumizi ya simu ambazo zimeibwa. je kuna usajili wa aina hiyo wa laptop, kwa sababu kuna matumizi makubwa pia ya internet kwa kifaa hiki ambayo kwa namna moja au nyingine inaweza kufanikisha kutrace laptop iliyoibwa au mtumiaji wake?
 
Thanks ni wazo zuri sanaa bora lisikae kisiasa manaake kwa simu watu bado wanapwaga na simu zisizosajiliwa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…