Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Nafikiri mtoa mada yupo sawa kabisa. Wengi wanatia nia wakijua hawana sifa za kuwa Marais na hata chembe ya kupamba na JPM hawana kwa hiyo ni kama kuondoa aibu kwenye jamii wanajionyesha kuwa nao eti bado wanakubalika. Lakini ukweli ni kuwa Chadema na hao wote waliotia nia hamna kitu bora wangekaa kimya.Acha upotoshaji wa kijinga Paskali, kwani ukitia nia ya kugombea urais ndio huwezi kugombea ubunge? Akina Kigwangalla, Makamba, Mwigulu nk wote hao walijitokeza kugombea urais wa ccm, mbona wote ni wabunge hivi sasa?
Nafikiri mtoa mada yupo sawa kabisa. Wengi wanatia nia wakijua hawana sifa za kuwa Marais na hata chembe ya kupamba na JPM hawana kwa hiyo ni kama kuondoa aibu kwenye jamii wanajionyesha kuwa nao eti bado wanakubalika. Lakini ukweli ni kuwa Chadema na hao wote waliotia nia hamna kitu bora wangekaa kimya.
Fafanua kulinajisi box la kura kivipi?JPM angekuwa anaamini kweli anaweza kushinda kihalali asingenajisi box la kura.
Fafanua kulinajisi box la kura kivipi?
Ina maana hata jumuia za kimataifa huwa hazioni huu uchafu? Maana kila uchaguzi huwa wanasema ulikuwa huru na hauna matatizo.Kuagiza makundi ya green guards kuwapiga wapinzani hadi kuwaachia vilema, na hata vifo ili ccm ipate ushindi. Kutumia vyombo vya dola na tume ya uchaguzi, kusimamia hujuma na wizi wa mabox ya kura kwa faida vya ccm. Kuwaagiza wasimamizi wa uchaguzi kukimbia kupokea fomu za wagombea wa upinzani. Kutangaza matokeo yasiyo halali, kisha vyombo vya dola kutumika kuzima hasira za wananchi wasiokubali kuhujumiwa.
Ina maana hata jumuia za kimataifa huwa hazioni huu uchafu? Maana kila uchaguzi huwa wanasema ulikuwa huru na hauna matatizo.
Hao green guard huwa wanaingia kwenye vituo vya kupigia kura? Maana sare za vyama huwa zinazuiwa.
Vyombo vya dola huwa vinawashikia wananchi bunduki?
Kubalini tu Ccm chini ya JPM imefanya kazi kubwa sana. Na inakubalika hayo mengine ni visingizio tu.Jumuiya na kimataifa ukiacha nchi Afrika wote huwa wanaweka wazi kuwa chaguzi zetu sio huru na haki.
Kituo cha kupiga kura kina nini wakati yanaletwa mabox ya kura na green guard, yenye kura za ccm kwa uratibu wa vyombo vya dola?
Vyombo vya dola huwa vinasimamia kutangazwa matokeo ya kura yasiyo na ridhaa ya wananchi.
Kubalini tu Ccm chini ya JPM imefanya kazi kubwa sana. Na inakubalika hayo mengine ni visingizio tu.
Kwa mbaaaali ni kama nakuelewa vile!!! Embu, tuupe muda utasemaTaarifa nilizonazo ni kwamba mchungaji Msigwa amekataa kumuunga mkono Nyalandu kama walivyokubaliana awali hali iliyopelekea Mbowe atie nia ili kuja na plan B.
Inadaiwa mchungaji Msigwa ni pandikizi lenye nguvu za " ghafla"
Maendeleo hayana vyama!
UtopianismWanabodi,
Naomba kuanza na angalizo:
Hili ni bandiko la swali, kuhusu ideas ya watangaza nia wa urais Chadema. Kama una majibu, karibu uchangie. Nimeanza na angalizo hili kwasababu humu jf tumevamiwa na ma simple minds ambao kazi yao ni kujadili watu badala ya kujadili ideas!. Kumezuka mtindo wa watu kutokujadili hoja iliyo mezani na badala yake kumjadili mtoa hoja!. Tujifunze kujadili mada iliyo mezani na sio kumjadili mtoa mada.
Kuelekea uchaguzi wa 2020, imetabiriwa kuwa kwa huku Tanzania Bara, Wabunge wote wa upinzani hata wakigombea tena, wataishia kupigwa chini na CCM, kufuatia kukubalika kwa CCM kwa kazi kubwa na nzuri ya kuwaletea maendeleo Watanzania inayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya tano. Imetabiriwa CCM itashinda uchaguzi Mkuu ujao kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%.
Hivyo ili kuepuka kushindwa kwa aibu, jee kunauwezekano, huku kutangaza nia ya kuwania kuteuliwa na vyama kugombea urais kupitia tiketi ya chadema, kwa baadhi ya wagombea, sio kweli kuwa wanataka kugombea urais kwa dhati, bali kunatumika tuu kama kichaka cha kujifichia aibu ya kugombea na kushindwa Ubunge?, hivyo kuutumia huo ugombea urais wa kupitia Chadema as an excuse ya kutogombea ubunge?.
Au ndio wanatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chadema ili kuutumia ugombea huo kama ngazi ya kujisuru kipigo cha CCM kwa kuwaonyeshea wapiga kura kuwa wao ni presidential materials, hivyo kama wangeweza kuwa rais wa JMT kupitia Chadema, then ubunge ni nini compared?, hivyo kuwapa mileage zaidi ya kuchaguliwa ubunge?.
Lengo la kuuliza hivi, ni kufuatia watia nia wakizidi kumiminika Chadema licha ya kumjua mgombea wa CCM ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ni mtu wa namna gani, na amefanya nini, na wewe unajijua ni mtu wa namna gani, unawezaje kathubutu kuchukua fomu kuomba kuteuliwa Chadema kumkabili Magufuli?.
Nilidhani wana Chadema, baada tuu ya kumsikia Tundu Lissu ametangaza nia, then haikutarajiwa kama kuna mtu mwingine yoyote Chadema angethubutu kuchukua fomu kwa upinzani kufutia upinzani legelege uliopo nchini Tanzania kiasi kwamba kwa maoni yangu, ndani ya kambi nzima ya upinzani, watu pekee ambao wanaweza kumkabili rais Magufuli na aka feel angalau ka joto joto cha uchaguzi, ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe pekee, hivyo hawa wagombea wengine wanao omba kuteuliwa Chadema, are they serious kweli au wanagombea tuu ili na wao kuonyeshea ni presidential materiale?!.
NB. Leo ninapozungumza haya, sii wengi wanajua kuwa kuna baadhi ya wabunge wa majimbo wa Chadema, hawatagombea tena uchaguzi wa 2020, hivyo namna nzuri ya kutogombea kwa heshima ni kugombea urais!. Lakini kwa wale ambao hawatapitishwa kwenye urais na kuendelea kugombea ubunge, then bandiko hili haliwahusu!.
Jumatatu Njema.
Paskali
Rejea
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.
Elections 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
Kwani unafikiri hajui hilo? Anajua sana ila shida yake ni kuwadhalilisha watu ili kumpendezeaha Msukuma mwenzetu.Ok Ni swali zuri. Umesema huenda pengine wanaotia Nia ya kugombea Urais katika chama Cha chadema inawezakuwa Ni kujificha aibu ya kuogopa kuumvuka kwa ushindi wa CCM katka uchaguzi ujao baada ya kuona wanaweza kuanguka kutokana na mambo mengi yaliyofanywa na Rais wa awamu ya tano Dr John Pombe Magufuli ambaye ametokana na chama Cha mapinduzi. Nijibu Kama ifuatavyo hoja yako
Sio kweli Ni kutangaza Nia ya Urais Ni kukwepa aibu ya kushindwa katika uchaguzi ujao, Bali Ni upana wa kidemokrasia ndani ya vyama vya siasa.Lkn pia upatikanaji wa Mgombea wa Urais Ni mchakato ambao lazima uchambuzi yakinifu ufanyike, na haiwezi kufanyika bila kuwapata wagombea wengi. Ili chama kiweze kupata Mgombea mzuri ambae ana mvuto lazima masikio ya went mamlaka katka chama wapate waliowengi ili kupata aliye Bora. Wataalamu wanasema if you want to get pure you must have many.
Lkn pia japo sijajua Sana kutangaza Nia Sio kuteuliwa kuwania Urais. Mtu anawrza akatangaza Nia ya kuteuliwa kuwania Urais na asiteuliwe then akarudi Tena jimboni kwenda kuomba ridhaa ya kugombea ubunge. Ndo maana mbunge wa iringa mjini Mch. Peter Msigwa(CHADEMA) alisema ametangaza Nia ya kugombea Urais ,Kama chama chake hakitamteua kugombea Basi atarudi jimboni kwenda kugombea ubunge. Na wale wapinzani wake waendelee kuomba kwamba chama kimteue kugombea uras lkn kisipomteua ataenda kupambana nao kwenye ubunge kule Iringa mjini
Kwahiyo nimalizie tu kwa kusema nafikiri Kuna kanuni ambazo vyama vya siasa hususani Chadema wameweka kwamba mtu anaweza akatangaza Nia ya Urais na mchakato ukafamyika akashndwa na akrudi Tena kugombea ubunge.
Sijui km nitakuwa nimejibu vyema Kaka Pascal Mayalla
Vitu vya kusadikika tu,kama mnakuwa na mawakala kila ngazi ya uchaguzi,na huwa wanasaini form. Tatizo linakuja wapi?
Uzi wa Leo uko chini ya kiwango ngoja Tu nipite hiviWanabodi,
Naomba kuanza na angalizo:
Hili ni bandiko la swali, kuhusu ideas ya watangaza nia wa urais Chadema. Kama una majibu, karibu uchangie. Nimeanza na angalizo hili kwasababu humu jf tumevamiwa na ma simple minds ambao kazi yao ni kujadili watu badala ya kujadili ideas!. Kumezuka mtindo wa watu kutokujadili hoja iliyo mezani na badala yake kumjadili mtoa hoja!. Tujifunze kujadili mada iliyo mezani na sio kumjadili mtoa mada.
Kuelekea uchaguzi wa 2020, imetabiriwa kuwa kwa huku Tanzania Bara, Wabunge wote wa upinzani hata wakigombea tena, wataishia kupigwa chini na CCM, kufuatia kukubalika kwa CCM kwa kazi kubwa na nzuri ya kuwaletea maendeleo Watanzania inayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya tano. Imetabiriwa CCM itashinda uchaguzi Mkuu ujao kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%, kama ilivyoshinda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ambao ulikuwa huru na wa haki!.
Hivyo ili kuepuka kushindwa kwa aibu, jee kunauwezekano, huku kutangaza nia ya kuwania kuteuliwa na vyama kugombea urais kupitia tiketi ya chadema, kwa baadhi ya wagombea, sio kweli kuwa ,wote wanataka kugombea urais kwa dhati, bali kuna baadhi wanataka kunatumia ugombea urais kama kichaka tuu cha kujifichia aibu ya kugombea na kushindwa Ubunge?, hivyo kuutumia huo ugombea urais wa kupitia Chadema as an excuse ya kutogombea ubunge?.
Au ndio wanatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chadema ili kuutumia ugombea huo kama ngazi ya kujisuru kipigo cha CCM kwa kuwaonyeshea wapiga kura kuwa wao ni presidential materials, hivyo kama wangeweza kuwa rais wa JMT kupitia Chadema, then ubunge ni nini compared?, hivyo kuwapa mileage zaidi ya kuchaguliwa ubunge?.
Lengo la kuuliza hivi, ni kufuatia watia nia wakizidi kumiminika Chadema licha ya kumjua mgombea wa CCM ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ni mtu wa namna gani, na amefanya nini, na wewe unajijua ni mtu wa namna gani, unawezaje kathubutu kuchukua fomu kuomba kuteuliwa Chadema kumkabili Magufuli?.
Nilidhani wana Chadema, baada tuu ya kumsikia Tundu Lissu ametangaza nia, then haikutarajiwa kama kuna mtu mwingine yoyote wa Chadema angethubutu kuchukua fomu kwa upinzani kufutia upinzani legelege uliopo nchini Tanzania kiasi kwamba kwa maoni yangu, ndani ya kambi nzima ya upinzani, watu pekee ambao wanaweza kumkabili rais Magufuli na aka feel angalau ka joto joto cha uchaguzi, ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe pekee, hivyo hawa wagombea wengine wanao omba kuteuliwa Chadema, are they serious kweli wanataka kugombea kumkabili Magufuli au wanagombea tuu ili na wao kuonyeshea ni presidential materiale?!.
NB. Leo ninapozungumza haya, sii wengi wanajua kuwa kuna baadhi ya wabunge wa majimbo wa Chadema, hawatagombea tena uchaguzi wa 2020, hivyo namna nzuri ya kutogombea kwa heshima ni kugombea urais!. Lakini kwa wale ambao hawatapitishwa kwenye urais na kuendelea kugombea ubunge, then bandiko hili haliwahusu!.
Jumatatu Njema.
Paskali
Rejea
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.
Elections 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
Wanabodi,
Naomba kuanza na angalizo:
Hili ni bandiko la swali, kuhusu ideas ya watangaza nia wa urais Chadema. Kama una majibu, karibu uchangie. Nimeanza na angalizo hili kwasababu humu jf tumevamiwa na ma simple minds ambao kazi yao ni kujadili watu badala ya kujadili ideas!. Kumezuka mtindo wa watu kutokujadili hoja iliyo mezani na badala yake kumjadili mtoa hoja!. Tujifunze kujadili mada iliyo mezani na sio kumjadili mtoa mada.
Kuelekea uchaguzi wa 2020, imetabiriwa kuwa kwa huku Tanzania Bara, Wabunge wote wa upinzani hata wakigombea tena, wataishia kupigwa chini na CCM, kufuatia kukubalika kwa CCM kwa kazi kubwa na nzuri ya kuwaletea maendeleo Watanzania inayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya tano. Imetabiriwa CCM itashinda uchaguzi Mkuu ujao kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%, kama ilivyoshinda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ambao ulikuwa huru na wa haki!.
Hivyo ili kuepuka kushindwa kwa aibu, jee kunauwezekano, huku kutangaza nia ya kuwania kuteuliwa na vyama kugombea urais kupitia tiketi ya chadema, kwa baadhi ya wagombea, sio kweli kuwa ,wote wanataka kugombea urais kwa dhati, bali kuna baadhi wanataka kunatumia ugombea urais kama kichaka tuu cha kujifichia aibu ya kugombea na kushindwa Ubunge?, hivyo kuutumia huo ugombea urais wa kupitia Chadema as an excuse ya kutogombea ubunge?.
Au ndio wanatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chadema ili kuutumia ugombea huo kama ngazi ya kujisuru kipigo cha CCM kwa kuwaonyeshea wapiga kura kuwa wao ni presidential materials, hivyo kama wangeweza kuwa rais wa JMT kupitia Chadema, then ubunge ni nini compared?, hivyo kuwapa mileage zaidi ya kuchaguliwa ubunge?.
Lengo la kuuliza hivi, ni kufuatia watia nia wakizidi kumiminika Chadema licha ya kumjua mgombea wa CCM ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ni mtu wa namna gani, na amefanya nini, na wewe unajijua ni mtu wa namna gani, unawezaje kathubutu kuchukua fomu kuomba kuteuliwa Chadema kumkabili Magufuli?.
Nilidhani wana Chadema, baada tuu ya kumsikia Tundu Lissu ametangaza nia, then haikutarajiwa kama kuna mtu mwingine yoyote wa Chadema angethubutu kuchukua fomu kwa upinzani kufutia upinzani legelege uliopo nchini Tanzania kiasi kwamba kwa maoni yangu, ndani ya kambi nzima ya upinzani, watu pekee ambao wanaweza kumkabili rais Magufuli na aka feel angalau ka joto joto cha uchaguzi, ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe pekee, hivyo hawa wagombea wengine wanao omba kuteuliwa Chadema, are they serious kweli wanataka kugombea kumkabili Magufuli au wanagombea tuu ili na wao kuonyeshea ni presidential materiale?!.
NB. Leo ninapozungumza haya, sii wengi wanajua kuwa kuna baadhi ya wabunge wa majimbo wa Chadema, hawatagombea tena uchaguzi wa 2020, hivyo namna nzuri ya kutogombea kwa heshima ni kugombea urais!. Lakini kwa wale ambao hawatapitishwa kwenye urais na kuendelea kugombea ubunge, then bandiko hili haliwahusu!.
Jumatatu Njema.
Paskali
Rejea
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.
Elections 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
Wewe unazungumzia nadharia, vitendo haviko hivyo.Vitu vya kusadikika tu,kama mnakuwa na mawakala kila ngazi ya uchaguzi,na huwa wanasaini form. Tatizo linakuja wapi?