Uchaguzi 2020 Je, kuna uwezekano kutangaza nia kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa baadhi, kunatumika kama kichaka cha kujifichia aibu ya kushindwa ubunge?.

Taarifa nilizonazo ni kwamba mchungaji Msigwa amekataa kumuunga mkono Nyalandu kama walivyokubaliana awali hali iliyopelekea Mbowe atie nia ili kuja na plan B.

Inadaiwa mchungaji Msigwa ni pandikizi lenye nguvu za " ghafla"

Maendeleo hayana vyama!
 
Kugombea au kutogombea sio issue, issue ni Chadema kutoa haki na fursa kwa kila mwanachama mwenye vigezo kupewa fursa ya kugombea nafasi yoyote ndani na nje ya chama.

Yale mambo ya "MPAKA UFANYE MAMBO FULANI-FULANI" ndio upwe nafasi ya kugombea au kuteuliwa, yatakiharibu chama mapema kuliko ugonjwa wa Corona.
 
Maendeleo gani? Usha fika Bahi au Kongwa? Au nenda Jimbo la Mtera? Au usha fika huko Kishapu? Nenda kajionee umasikini ulivyo, Eti maendelo.
 
Hivi yule mgombea WAKO yuko wapi?
 
Asante sana kwa uzi mr pasco ulichowaza ni 100% ni bora mtu kuficha aibu za kushindwa ubunge kama kiongozi
 
Tatizo lako njaa imekupanda hadi kwenye ubongo na sasa unalazimisha upatiwe uteuzi.

Ulinza na ukabila ikashindikana sasa umeamua kuingia kwa miguu yoote kwenye kujipendekeza.

Nakuhakikishia kuwa hata huku utaangukia pua, wewe pambana na hali yako ndugu.
 
Siku zingine una maudhi kweli Pasikali...unabariki uhuni wa CCM!!!
 
Tulio kuwa karibu naye huyo Pascal amekengeuka sana na kwa sasa anaoko elekea ni kuokota makopo barabarani maana hataki kuridhika na alicho nacho
Watashindwa kwa kukubaliwa kwa CCM au kwa mabavu mapya ya CCM yakishirikisha dola? Nadhani Rafiki yangu unakengeuka sasa! Yellow isn't blue, I think you certainly know that! Just call a spade, spade not another version of the spoon!!
 
Mkuu Pascal kashajipotezea uwezo wake wa kujadili na kuchambua siasa kwa weledi, hii yote ni njaa
Acha upotoshaji wa kijinga Paskali, kwani ukitia nia ya kugombea urais ndio huwezi kugombea ubunge? Akina Kigwangalla, Makamba, Mwigulu nk wote hao walijitokeza kugombea urais wa ccm, mbona wote ni wabunge hivi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…