Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Mayele alishawahi taka kusign au kuchezea Azam before?Wana agenda yao ya kuizungumza leo saa tano inayohusu usajili, na topic iliyobeba tukio hilo ni
"NDIO! wameungana tena" /"REUNION"
Sasa kuungana tena kuna uhusiano gani na Mayele? Kwa nini siyo Aishi Manura?Wana agenda yao ya kuizungumza leo saa tano inayohusu usajili, na topic iliyobeba tukio hilo ni
"NDIO! wameungana tena" /"REUNION"
Wana agenda yao ya kuizungumza leo saa tano inayohusu usajili, na topic iliyobeba tukio hilo ni
"NDIO! wameungana tena" /"REUNION"
SawaDOGOSasa kuungana tena kuna uhusiano gani na Mayele? Kwa nini siyo Aishi Manura?
Dume zima kazi umbea na kutingisha wowowo tu.
Ni kweli lolote linaweza kutokea Ila nimeuliza hivyo kutokana na hiyo agenda yao itakayobebwa na "REUNION". Labda kwa ambao walishawahi kuichezea Azam kima Manura, Kapombe n.k mkuuSijawahi sikia, lakini lolote lile linawezekana katika maisha ya mpira
Fiston Kalala Mayele ni mtu mzima! Baba wa familia, na pia ni mchezaji anayejitambua!! Siyo kilaza kama huyo Fei Toto wenu.View attachment 2671339
Wana agenda yao ya kuizungumza leo saa tano inayohusu usajili, na topic iliyobeba tukio hilo ni
"NDIO! Wameungana tena."
thubutuView attachment 2671339
Wana agenda yao ya kuizungumza leo saa tano inayohusu usajili, na topic iliyobeba tukio hilo ni
"NDIO! Wameungana tena."
Uzuri mimi mwenyewe ni shabiki wa Yanga, na mada yangu ni swali tu kutokana na post ya azam na tetesi za siku za nyuma, kuwa huru kwa mayele na jinsi ambavyo mayele anamkubali feisal..Fiston Kalala Mayele ni mtu mzima! Baba wa familia, na pia ni mchezaji anayejitambua!! Siyo kilaza kama huyo Fei Toto wenu.
kwani ambundo akisajiliwa pale azam atakuwa hajaungana na mtu kweli!!1View attachment 2671339
Wana agenda yao ya kuizungumza leo saa tano inayohusu usajili, na topic iliyobeba tukio hilo ni
"NDIO! Wameungana tena."
Yanga hakuna mambumbumbu na wachawi kama wewe.Uzuri mimi mwenyewe ni shabiki wa Yanga, na mada yangu ni swali tu kutokana na post ya azam na tetesi za siku za nyuma, kuwa huru kwa mayele na jinsi ambavyo mayele anamkubali feisal..
Ni Kama kipindi kile Ronaldo anaenda Juve, ikasemekana kwamba Marcello anataka kwenda Juve kwa wakati huo