S seminarian Member Joined Jun 8, 2024 Posts 24 Reaction score 26 Oct 29, 2024 #1 Naweza kuhama kutoka wizara ya afya kwenda maabara ya mkemia mkuu.
muafi JF-Expert Member Joined Oct 6, 2015 Posts 2,557 Reaction score 6,128 Oct 29, 2024 #2 Inawezekana
Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,636 Reaction score 6,178 Oct 29, 2024 #3 seminarian said: Naweza kuhama kutoka wizara ya afya kwenda maabara ya mkemia mkuu. Click to expand... Unaweza kuhama kutoka kokote kwenda kokote kwa kufuata taratibu kwa mujibu wa kanuni na sheria kulingana na uwepo wa nafasi huko unakoenda
seminarian said: Naweza kuhama kutoka wizara ya afya kwenda maabara ya mkemia mkuu. Click to expand... Unaweza kuhama kutoka kokote kwenda kokote kwa kufuata taratibu kwa mujibu wa kanuni na sheria kulingana na uwepo wa nafasi huko unakoenda
Kipangaspecial JF-Expert Member Joined Mar 30, 2020 Posts 20,778 Reaction score 28,722 Oct 30, 2024 #4 seminarian said: Naweza kuhama kutoka wizara ya afya kwenda maabara ya mkemia mkuu. Click to expand... Lengo lako kuu ni kuongeza maokoto au kuwahudumia kwa weredi watanzania wanyonge ?
seminarian said: Naweza kuhama kutoka wizara ya afya kwenda maabara ya mkemia mkuu. Click to expand... Lengo lako kuu ni kuongeza maokoto au kuwahudumia kwa weredi watanzania wanyonge ?
Msaga_sumu JF-Expert Member Joined Aug 31, 2022 Posts 289 Reaction score 291 Oct 30, 2024 #5 Bora nyinyi mnaohama wengine sisi vibarua vyetu tunapigwa matukio tu...... tunamshukuru Mungu tu.
M Mo Said 83 Member Joined Apr 24, 2024 Posts 34 Reaction score 39 Oct 30, 2024 #6 seminarian said: Naweza kuhama kutoka wizara ya afya kwenda maabara ya mkemia mkuu. Click to expand... Umepiga kozi gani
seminarian said: Naweza kuhama kutoka wizara ya afya kwenda maabara ya mkemia mkuu. Click to expand... Umepiga kozi gani