Habari za Leo jamiiforums?
Niende moja Kwa moja kwenye mada, Niko mahali yapata miaka mitatu ila Kuna jirani baadhi siwaelewi kabisa, Kuna jirani nikimsalimia haitiki na milango inatizamana.
Yaani nikitoka nje lazima nimuone na yeye vile vile lazima anione, Sasa nimekuwa napata wakati mgumu Kwa sababu siyo kawaida, nikimsalimia haitiki badala yake anakutizama Kwa hasira, nilichoamua nikaacha kumsalimia akaja kwangu kununua bidhaa nikahisi kama amegundua makosa yake.
Kesho yake akija Tena anitizame Kwa hasira, Sasa niishije na huyu jirani nisaidieni mawazo.
Niende moja Kwa moja kwenye mada, Niko mahali yapata miaka mitatu ila Kuna jirani baadhi siwaelewi kabisa, Kuna jirani nikimsalimia haitiki na milango inatizamana.
Yaani nikitoka nje lazima nimuone na yeye vile vile lazima anione, Sasa nimekuwa napata wakati mgumu Kwa sababu siyo kawaida, nikimsalimia haitiki badala yake anakutizama Kwa hasira, nilichoamua nikaacha kumsalimia akaja kwangu kununua bidhaa nikahisi kama amegundua makosa yake.
Kesho yake akija Tena anitizame Kwa hasira, Sasa niishije na huyu jirani nisaidieni mawazo.