Je kuna Wanaume wanaopata wapenzi kutokana na mvuto wao kwa Wanawake/wasichana?

Je kuna Wanaume wanaopata wapenzi kutokana na mvuto wao kwa Wanawake/wasichana?

mmaroroi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2008
Posts
4,635
Reaction score
2,271
Katika jamii zetu za kiafrika Mwanaume humpata mpenzi kwa kumtongoza/kumvutia kimapenzi.Lakini kumekuwa na usemi kuwa huyu jamaa anavutia kweli kwa wanawake.Je ni kweli? Kama ni kweli si wanaweza hata kuvutia kwa wake za watu?
 
Katika jamii zetu za kiafrika Mwanaume humpata mpenzi kwa kumtongoza/kumvutia kimapenzi.Lakini kumekuwa na usemi kuwa huyu jamaa anavutia kweli kwa wanawake.Je ni kweli? Kama ni kweli si wanaweza hata kuvutia kwa wake za watu?

Sasa huyo mke wa mtu akivutiwa na wewe kwani ni lazima umkubali. kama utakubali kila mtu kwa sababu ya kuvutiwa basi utakufa mapema sana na NGOMA.
 
Sasa huyo mke wa mtu akivutiwa na wewe kwani ni lazima umkubali. kama utakubali kila mtu kwa sababu ya kuvutiwa basi utakufa mapema sana na NGOMA.
Unajua wengine wanatumia fedha kutafuta wapenzi,sasa kama kuna anayevutia na yeye pia ni kiwembe si atatumalizia wake zetu?Halafu si kweli kuwa NGOMA inaua mapema siku hizi kuna ARVs na LISHE zingine.Kwa hiyo hoja ni kuwa kuna wanaume wanaovutia bila kutumia kichocheo?
 
Wapo wengi tu. Wanafuatwa na totoz na wanaambiwa moja kwa moja.
 
I don't know about jamii za kiafrika, but if jamii zenye asili za kiafrika is any indication then probably yes.

Jana kuna totoz bomba kakaa karibu na mimi kwenye treni, kaniona nasoma kupitia "Amazon Kindle" yangu, nimepiga suti nadhifu na tai kubwa, well groomed, headphones masikioni, kaanza kuniuliza kuhusu "Amazon Kindle" na vitabu ninavyoweza kupata humo, chit chat nyingi mpaka tukafika kituo cha nyumbani, kushuka kaniambia amependa nilivyovaa na kazi yangu, na yeye ansomea mambo hayo hayo anataka niwe "career mentor" wake.

Nikachukua kadi, akachukua kadi, sasa sijui haya mambo ya "career mentor" yanaweza kuwa gumzo la kuanzia tu au vipi!

Mpaka mtu unaona duh!

Au uchu wangu tu watu wanatafuta "career mentor" kweli? Kama anatafuta mentor si angeenda LinkedIn/ Careerbuilder seminars?
 
Wee gonga mavi2z mshikaji.mambo ya u mentor mtajuana baadaye.
 
Katika jamii zetu za kiafrika Mwanaume humpata mpenzi kwa kumtongoza/kumvutia kimapenzi.Lakini kumekuwa na usemi kuwa huyu jamaa anavutia kweli kwa wanawake.Je ni kweli? Kama ni kweli si wanaweza hata kuvutia kwa wake za watu?

Ni kweli kabisa mkuu kuna wanaume wanao wavutia baadhi ya wanawake,ila kumbuka sio wanawake wote wanaopenda mwanaume anayevutia wengi wao wanawaogopa sana, wanaume wa dizaini hiyo kwa sasabu zao wanazodai kuwa mwanaume kama huyu anakuwa ni malaya,kwani wanawake wengi wanajigonga kwake.

Mi mwenyewe nina bahati hiyo ya kupendwa na warembo kwa kile wanachodai kuwa nina wavutia, inafikia stage mpaka wengine wananitongoza ha ha ha,ni hatari sana hasa ukijikuta ni mtu watotoz una kwenda na maji mara moja.
 
I don't know about jamii za kiafrika, but if jamii zenye asili za kiafrika is any indication then probably yes.

Jana kuna totoz bomba kakaa karibu na mimi kwenye treni, kaniona nasoma kupitia "Amazon Kindle" yangu, nimepiga suti nadhifu na tai kubwa, well groomed, headphones masikioni, kaanza kuniuliza kuhusu "Amazon Kindle" na vitabu ninavyoweza kupata humo, chit chat nyingi mpaka tukafika kituo cha nyumbani, kushuka kaniambia amependa nilivyovaa na kazi yangu, na yeye ansomea mambo hayo hayo anataka niwe "career mentor" wake.

Nikachukua kadi, akachukua kadi, sasa sijui haya mambo ya "career mentor" yanaweza kuwa gumzo la kuanzia tu au vipi!

Mpaka mtu unaona duh!

Au uchu wangu tu watu wanatafuta "career mentor" kweli? Kama anatafuta mentor si angeenda LinkedIn/ Careerbuilder seminars?


chaguwa wimbo ?au utatuma salam kwanza L🙂🙂🙂
 
Katika jamii zetu za kiafrika Mwanaume humpata mpenzi kwa kumtongoza/kumvutia kimapenzi.Lakini kumekuwa na usemi kuwa huyu jamaa anavutia kweli kwa wanawake.Je ni kweli? Kama ni kweli si wanaweza hata kuvutia kwa wake za watu?

Kuvutia kivipi? Kwa tabia? Kwa sura(umbo)? Umaarufu(labda msanii)?,fedha? Kwa maoni yangu chochote kati ya hivyo kinaweza kumvuta mwanamke kwa mwanaume (hata kama ni mke wa mtu)!
 
Back
Top Bottom