K Kamundu Platinum Member Joined Nov 22, 2006 Posts 7,823 Reaction score 10,857 Aug 3, 2021 #1 Ni swali tu nauliza? Nakumbuka tukiwa wadogo tulikuwa na wakimbiaji lakini siku hizi ni Kenya, Uganda na Ethiopia....
Ni swali tu nauliza? Nakumbuka tukiwa wadogo tulikuwa na wakimbiaji lakini siku hizi ni Kenya, Uganda na Ethiopia....
Ng'wanamangilingili JF-Expert Member Joined Aug 22, 2015 Posts 5,778 Reaction score 4,859 Aug 3, 2021 #2 Aisee inasikitisha saanaaa....yaani leo nawaona wadada wanaitwa akina Mbona na Masilingi wanachukua medali Tokyo ila sisi wadada wetu wanapishana sijui wapi huko plus serikali imeitupa kabisa sekta ya michezo imebakiza kuiwekea siasa tu Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Aisee inasikitisha saanaaa....yaani leo nawaona wadada wanaitwa akina Mbona na Masilingi wanachukua medali Tokyo ila sisi wadada wetu wanapishana sijui wapi huko plus serikali imeitupa kabisa sekta ya michezo imebakiza kuiwekea siasa tu Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
kijana13 JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 1,981 Reaction score 3,631 Aug 3, 2021 #3 Hao hapo wako mitaa ya Japan wanajifua..subiri siku yao ifike weekend hii Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hao hapo wako mitaa ya Japan wanajifua..subiri siku yao ifike weekend hii Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,717 Reaction score 13,176 Aug 5, 2021 #4 Hawafiki hata nusu dozen waliokwenda kuliwakilisha Taifa la watu 60M aibu😂😂 Nalogoff