sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nimetoka kuangalia makala hapa inayohusu mambo ya cocaine na ninmegundua ya kwamba aina hii ya madawa ni bei mno.
Hapa nazungumzia cocaine yale madawa yanayovutwa kwa pua (kusniff)
Madawa haya bila uwezo wa kutoa laki kila siku huwezi kuyapata
Nimeona watuamiaji wa bangi na mateja wanaotumia hizi heroin na mthamphetamine lakini hapa kwenye cocaine ni mziki mwengine
Je, hao wanaokamatwaga na cocaine huwa wanabambikiwa au?
Hapa nazungumzia cocaine yale madawa yanayovutwa kwa pua (kusniff)
Madawa haya bila uwezo wa kutoa laki kila siku huwezi kuyapata
Nimeona watuamiaji wa bangi na mateja wanaotumia hizi heroin na mthamphetamine lakini hapa kwenye cocaine ni mziki mwengine
Je, hao wanaokamatwaga na cocaine huwa wanabambikiwa au?