Je, Kuna Wilaya au mkoa ambapo wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014 na kuendelea wamepata barua za kupanda daraja?

Je, Kuna Wilaya au mkoa ambapo wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014 na kuendelea wamepata barua za kupanda daraja?

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
Ndugu yangu ni mfanyakazi wa Serikalini ameajiriwa mwaka 2014 alisikia tetesi kuwa mwaka huu hauishi anaweza kuhama walau kutoka daraja alilosota nalo kwa miaka 6 kuhamia daraja lingine.

Je, kuna wilaya wameshaanza kupandisha ama Ni MITANO TENA?
 
Back
Top Bottom