Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Ndugu yangu ni mfanyakazi wa Serikalini ameajiriwa mwaka 2014 alisikia tetesi kuwa mwaka huu hauishi anaweza kuhama walau kutoka daraja alilosota nalo kwa miaka 6 kuhamia daraja lingine.
Je, kuna wilaya wameshaanza kupandisha ama Ni MITANO TENA?
Je, kuna wilaya wameshaanza kupandisha ama Ni MITANO TENA?