acha kabisa kuna sehemu ukimgusa tu basi,yaaan ankuwa anajisikia kussafiri safiri tu muda wote,sehemu ya kuwasiliana kwa mtandao atatamani aende tu,akiona gari atatamani kupanda,ndege ndo usiseme,acha kabisa hlo ni tatizo usijetuletea mbegu za laana hapa Tanzania