Hadi mwezi wa kwanza wewe..
Tulia...bado sana haiwezekani ufanye mtihani Nov mwishoni upate matokeo mapema hivyo.
Wadau wa CPA(NBAA)...mwenye taarifa za matokeo ya cpa kwa mitihani ya novemba 2014 yatatolewa lini atujuze maana tulizoea kuwa ni kabla ya christmas
anatakiwa atulize akili vinginevyo atapotea, ukizingatia yeye akawa Mara ya ya kwanza kufanya....Matokeo ya CPA si jambo la kukuumiza kichwa kusubiri,unaweza kuwa na ham nayo ukakuta wamekula kichwa halaf tusikuone tena humu jf japokuwa hatukujui.
hahaha hawajui vizuri nbaa...
subiri matokeo yanatoka katikati ya mwezi huu, kwa taarifa sio mabaya sana....dont underestimate someone you dont know.
Kuna jamaa anafanya hiyo CPA huu mwaka wa tano