GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,572
- 1,781
Poleni na majukumu wanasheria.
Napenda kujua iwapo sheria inaruhusu wasimamizi zaidi ya mmoja wa mirathi yaani kama watatu hivi.
Maana kuna familia ina watoto wa mama watatu tofauti na wako kwenye mchakato wa mirathi lakini suala la mtu mmoja kupewa usimamizi wa mirathi linawachanganya.
Wao wanataka kila mzaliwa wa mama mmoja awe katika usimamizi wa mirathi.
Natanguliza shukurani kwenu wanasheria wasomi kwani maoni yenu yatakuwa ufumbuzi wa hii sintofahamu.
Napenda kujua iwapo sheria inaruhusu wasimamizi zaidi ya mmoja wa mirathi yaani kama watatu hivi.
Maana kuna familia ina watoto wa mama watatu tofauti na wako kwenye mchakato wa mirathi lakini suala la mtu mmoja kupewa usimamizi wa mirathi linawachanganya.
Wao wanataka kila mzaliwa wa mama mmoja awe katika usimamizi wa mirathi.
Natanguliza shukurani kwenu wanasheria wasomi kwani maoni yenu yatakuwa ufumbuzi wa hii sintofahamu.