Je, kuoa ni kupoteza uhuru?

Sijaoa: lakini, uhuru ni nini? Faida za huo uhuru ni zipi, na hasara zake kama zipo ni zipi? Usijekuta kuoa/kuolewa ndiko kunakoleta uhuru wa kweli.
 
Inategemea uhuru gani unaoongelea? Unless uwe specific ni ngumu kukujibu. Uhuru wa kuongea? uhuru wa kutembea? uhuru gani? Kwa kifupi uhuru haupotei unless wewe uhuru ulokuwa nao kaba ya ndoa ni extreme ndio maana inabidi utupe hints ndo tukwambie kama utapoteza au utabaki nao.
 
Reactions: bht
WIFE?!

Worries
Invitations
For
Ever

Kumbuka hilo utakua poa tuu...kama unapressure kata life insurance kabisa.
 
Mlioko kwenye ndoa naomba mnijibie swali hili, maaana huwezi jua ukali wa posi kama hupigi pasi.<br />
Inshort natarajia kujiunga na taasisi yenu soon.
<br />
<br />
heh kumbe mtoto?
 
Unapotezaje uhuru? ni kupanga tu na mwenzako
 
da inatoa uhuru sana yani ndoa ndoano watu wanapigiwa wake inauma na hata uhuru wa ku hit and Go haupo
 
Yah mi nahisi mkioana lazima mpoteze uhuru wenu kwa kiasi fulani, sababu kuna mambo mtakuwa mnafanya pamoja na kila kitu kujulishana,yani asubuhi lazima utoe ratiba yako la sivyo hutaeleweka
 
mi nshazoea kuchungwa na kufugwa nimezoea sana, ndicho hicho pia nakitarajia ndani ya ndoa. Jamani sasa uhuru mpana zaidi ya huo ni wa nini kwangu? Kama ni kuaga ndio nlichozoea, all I can say ni kwamba sioni kama kuna uhuru wowote ntakao upoteza.
 
Oa uyaone. Si ndo moja ya majukumu ya utu uzima? Utapambana na utakayoyakuta hivyohivyo. Hakuna linaloshindikana.
 
Oa uyaone. Si ndo moja ya majukumu ya utu uzima? Utapambana na utakayoyakuta hivyohivyo. Hakuna linaloshindikana.
<br />
<br />
umenikumbusha ile habari ya peponi. Ukitaka kwenda peponi usiogope kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…