Rejea swali hilo wakuu.
Mbao ngumu bei mkasi sana, japo wadudu wakipekenya ni hasara zaidi.
Mimi huwa nikiona milango imepakwa rangi naamini tu ni mbao za kawaida. Ila unakuta ziko poa na zimedumu kwa uimara wake.
Nini hufanyika, au uimara hutegemea na nini?
Natanguliza shukrani.