Je, Kupiga Punyeto kunaleta shida ya kusahau?

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Habari Wadau,

Tangu nipo Shule nimekuwa nikisikia hoja ya wadau wakisema kuwa, unapiga punyeto mara kwa mara utakumbwa na shida ya kusahau kusiko kwa kawaida.

Upi ukweli wa madai haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…