Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salamu ni utashi sio sheria...wale wa kusalimia sana magari sio yaohivi kusalimia ni lazima hata ukiwa kwenye chombo cha moto unaendesha maana unakuta wanalalamika unawapita tu bila salam wakat ulikua unadrive
Wewe unaonaje ?hivi kusalimia ni lazima hata ukiwa kwenye chombo cha moto unaendesha maana unakuta wanalalamika unawapita tu bila salam wakat ulikua unadrive
Hahahaha.Salamu ni utashi sio sheria...wale wa kusalimia sana magari sio yao
sio lazima [emoji1787]Vp ukiwa mtaani,huna gari
Ndio kujiskia huko sasasio lazima [emoji1787]
mi nwenyewe sipend kusalimia watu kwakweli na sina chochote cha kulingia au kunifanya kujisikia basi tu ndo nimekua hivoNdio kujiskia huko sasa
Utaenda siku kuulizia kitu bila kusalimia afu uone kama utasaidiwa🤪 nakumbuka ilinitokea puani 2009 ndio nikaona umuhimumi nwenyewe sipend kusalimia watu kwakweli na sina chochote cha kulingia au kunifanya kujisikia basi tu ndo nimekua hivo
Tatizo sio chombo cha usafiri tatizo ni wewe, kwani ni nani huwa anendesha hicho chombo?hivi kusalimia ni lazima hata ukiwa kwenye chombo cha moto unaendesha maana unakuta wanalalamika unawapita tu bila salam wakat ulikua unadrive
Sio lazima ila siku gari ikikwama sehemu ndio utawajua wananzego kwa nini wanasalimiahivi kusalimia ni lazima hata ukiwa kwenye chombo cha moto unaendesha maana unakuta wanalalamika unawapita tu bila salam wakat ulikua unadrive
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba umewapita raia kavu kavu hafu ukapotea njia unarud kuuliza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utajua hujui , kwa upande wangu siwezi kurudi nyuma kabisa [emoji16][emoji16]Utaenda siku kuulizia kitu bila kusalimia afu uone kama utasaidiwa[emoji2957] nakumbuka ilinitokea puani 2009 ndio nikaona umuhimu