mbwilo shadrack
Member
- Jan 3, 2013
- 63
- 8
WATAALAM MBALIMBALI WA GESI WANASEMA KUSIMIKA NGUZO ZA GREDI YA TAIFA NI GHARAMA KULIKO KULAZA MABOMBA????? NAOMBA MCHANGO WENU WENYE MAKADILIO YA GHARAMA!!!!!!! NAWASILISHA HOJA!:israel::israel:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gharama itakuwa kubwa kama zikiwekwa nguzo afu bado bomba likahitajika kwajili ya matumizi ya viwandan na majumbani na hata katika magari.haya ondoa uzi wako wa kinafiki......WATAALAM MBALIMBALI
WA GESI WANASEMA KUSIMIKA NGUZO ZA GREDI YA TAIFA NI GHARAMA KULIKO
KULAZA MABOMBA????? NAOMBA MCHANGO WENU WENYE MAKADILIO YA
GHARAMA!!!!!!! NAWASILISHA HOJA!:israel::israel:
Nguzo na bomba ipi ghali?
kutoka Mtwara mpaka Dar kutatumia nguzo ngapi na kama ni mabomba yatatumika mangapi?
Kwanini serikali inadumaza maendeleo ya mikoa mingine na kuipendelea Dar pekee?
Ndio maana Chadema inaleta sera ya Majimbo nadhani ndo itakuwa muarobaini wa matatizo haya.
gharama itakuwa kubwa kama zikiwekwa nguzo afu bado bomba likahitajika kwajili ya matumizi ya viwandan na majumbani na hata katika magari.haya ondoa uzi wako wa kinafiki......
kwa hiyo mnazani hiyo gesi ikibaki hapo mtwara ndio itabadilika kuwa hela? Basi katazeni isipande meli kwenda marekanai pia
WATAALAM MBALIMBALI WA GESI WANASEMA KUSIMIKA NGUZO ZA GREDI YA TAIFA NI GHARAMA KULIKO KULAZA MABOMBA????? NAOMBA MCHANGO WENU WENYE MAKADILIO YA GHARAMA!!!!!!! NAWASILISHA HOJA!:israel::israel:
WATAALAM MBALIMBALI WA GESI WANASEMA KUSIMIKA NGUZO ZA GREDI YA TAIFA NI GHARAMA KULIKO KULAZA MABOMBA????? NAOMBA MCHANGO WENU WENYE MAKADILIO YA GHARAMA!!!!!!! NAWASILISHA HOJA!:israel::israel:
gharama itakuwa kubwa kama zikiwekwa nguzo afu bado bomba likahitajika kwajili ya matumizi ya viwandan na majumbani na hata katika magari.haya ondoa uzi wako wa kinafiki......