Noted ... but uwage unakuja basi kwenye mada za kisayansi pia.. huwa tunahitaji mchango wako piaNikae pembeni kwa kumuogopa nani?
Wewe usiyeweza kujibu swali ndiye wa kukaa pembeni.
Huna ubavu wa kunifanya mimi nikae pembeni.
Mkuu hayo majibu yako ni ya kielimu au umetumia akili yako?Lengo la Mungu kutuumba sisi halijulikani na halitokaa lijulikane. Lengo la yeye kutuumba analijua yeye.
Kuna mtu aliwahi kuandika humj kwa kutolea mfano wa mkulima na mmea wa karanga. Mkulima akipanda karanga yeye ndiye anayejua ni kwa nini amepanda karanga lakini ule mmea wa karanga hauwezi jua chochote hadi unanyauka. Ubongo wako umekuwa programed kuelewa vitu kwa ukomo. Hilo unalotaka kulifahamu wewe liko nje ya uwezo wako. Hayo mengine sijui kufanya kazi sijui kumuabudu ni sisi kujipendekeza kwetu tu.
Wewe ishi tu mzee baba.
Huo ni mtazamo wangu binafsi baada ya kuona vyanzo vyote vinavyomuelezea Mungu havinipi jibu ambalo linakidhi uhalisia ninaouhisi.Mkuu hayo majibu yako ni ya kielimu au umetumia akili yako?
Maadamu umesema ulichokijibu ni mtazamo wako tu na si kielimu basi na mie hebu nitumie mtazamo wangu kuona kama kweli jibu lako lina uhalisia.Huo ni mtazamo wangu binafsi baada ya kuona vyanzo vyote vinavyomuelezea Mungu havinipi jibu ambalo linakidhi uhalisia ninaouhisi.
Wale waumini wa Beyonce ukiwaambia hivyo unadhani watakuelewa?Hakuna mungu
nani aliandika biblia?Kila kitu kingeandikwa kwenye biblia ingekuwa kubwa sana.
Wewe ulipozaliwa hakuna mtu alikwambia ulie au unyonye lakini automatic ukajiongeza.
Jiongeze.
Kuna vitu viwili sijawahi kuvipotezea hapa JF.Noted ... but uwage unakuja basi kwenye mada za kisayansi pia.. huwa tunahitaji mchango wako pia
ahahahahhahahah kweli kabisa wasikimbie maswali kwa mbinu za kitotoAchen propaganda jibu swali kama lilivyo ulizwa sio "kila kitu kingeandikwa kwenye biblia ingekuwa kubwa". Ili jibu waga la kukwepa kuhojiwa tu.. Ni bora ingekua kubwa kwa ukubwa wake ili maswali ya siwepo basi. Hivi unataka niambia kitabu cha wimbo uliobora kinasamani sana kuwepo kuliko kitabu cha maisha ya yesu?
Mungu ametuweka duniani ili tumjue, tumpende, tumtumikie na mwisho turudi kwake mbinguniWanajamvi habarini wote.
Mimi ninaswali ambalo linanitatiza kiimani, kama kichwa cha habari kinavyo uliza.
Hivi kusudi la mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa ni 1. Nikufanya kazi au 2. Kumwadundu mungu.
Kwa sababu ninaposoma katika kitabu cha mwanzo naona alimuumba adamu harafu akamkabidhi bustani aitunze but kitu kinachonitatiza sikuona mahara ambapo mungu anamuagiza kuwa adamu amuabudu. Sijajua kwa vitabu vingine kutoka imani tofauti kuhusu uumbaji wa mungu.
NAHITAJI KUELIMISHWA
Thanks kiongozi wangukama kweli una nia ya dhati kupata jibu
maelezo yana hati miliki nakupa link ukasome
Kwa Nini Tupo Hapa? — Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
pamoja sana bossKuzaa na kuijaza dunia kwa kila namna
hahahaha. Shida ya wale jamaa ukisha tu wakaribisha siku moja watakupigia hodi kila siku kama vile mtu hana kazi ya kufanyaWatafute Mashahidi wa Yehova watakupa jibu zuri. Wapo vizuri sana kwenye kuchambua biblia. Wasearch hata google wapo.
Kibaya zaidi wanakuja wakati wa msosi, na hawana hiana kuanza kunawa maji. [emoji4]hahahaha. Shida ya wale jamaa ukisha tu wakaribisha siku moja watakupigia hodi kila siku kama vile mtu hana kazi ya kufanya