Je, kutakuwa na awamu nyingine kuomba vyuo?

Katukatu

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2020
Posts
359
Reaction score
613
Wakuu ndugu yangu kachelewa kuomba chuo hivyo nauliza kutakuwa na awamu nyingine baada ya kufungwa 05/08/2020 kufungwa?
Asante
 
sasa hao walioomba wanajuwaje kama wamechaguliwa na hivyo vyuo jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…