Hii ina maanisha SIMBA walikuwa hawajui ..but now wameelewaSimba sasa[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2076936
Mkuu kwasasa tunaongea kujifariji tu lakini hii kauli yako itakuwa na maana sana endapo Azam atachukua kombe mbele ya Simba. ila kama Simba atatwaa kombe basi mkuu itakuwa ni kama umeitusi na timu yakoHawawezi kuelewa hawa kolo kitimu kile namungo kinashika nafasi huko chini chini kabisa.
Cha muhimu tusubiri Final kama simba akimfunga azam hapo tutakubali lakini akishindwa..?Mkuu kwasasa tunaongea kujifariji tu lakini hii kauli yako itakuwa na maana sana endapo Azam atachukua kombe mbele ya Simba. ila kama Simba atatwaa kombe basi mkuu itakuwa ni kama umeitusi na timu yako
Hivi wachezaji wanapewa likizo na ligi haijaisha kwanini?Mkuu tukienda kwenye uhalisia wa mambo ni kwamba viongozi wa Yanga hawajitambui. awali uongozi wa Yanga waliidharau mashindano na ndio maana wachezaji muhimu...
Ujue we ni yanga damu ila una point sometimes?Mkuu kwasasa tunaongea kujifariji tu lakini hii kauli yako itakuwa na maana sana endapo Azam atachukua kombe mbele ya Simba. ila kama Simba atatwaa kombe basi mkuu itakuwa ni kama umeitusi na timu yako
Unayemwamini ndiye atakayekuangushaCha muhimu tusubiri Final kama simba akimfunga azam hapo tutakubali lakini akishindwa..?
Hiyo fainal mnaisubiria mkiwa zenji au wapi?Cha muhimu tusubiri Final kama simba akimfunga azam hapo tutakubali lakini akishindwa..?
Jamani si tumekubaliana kwamba ni fair play inakuwaje tena tuanze kuwalaumu kina bangala?Hivi wachezaji wanapewa likizo na ligi haijaisha kwanini?
Halafu ni bora hawa kina bangala wasingerudi kabisa walipaswa wamalizie hawa wa mwanzo kina makambo tu...
Fair play ni hii comment yako so utopolo wa mleta madaHivi wachezaji wanapewa likizo na ligi haijaisha kwanini?
Halafu ni bora hawa kina bangala wasingerudi kabisa walipaswa wamalizie hawa wa mwanzo kina makambo tu.
Kituko zaidi ni lile la kumtoa mshery na kumuingiza johora ambaye hajawahi kucheza mechi hata moja..!
Huu uongozi ni wa kipopoma kweli na nabi anapewa likizo ligi hata haijaisha kweli?
Tulistahili kufungwa ndani ya 90 mins kilichosaidia ni ubora wa mwamnyeto na wenzie pamoja na mshery alijitahidi kutuliza presha.
Yule dogo wa azam tepsie ni hatari Sana.