Tetesi: Je kwa dalili hizi eneo hili linautajiri uliojificha namaanisha madini

james bendui

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2015
Posts
693
Reaction score
690
Wakuu habari kwa sasa nipo ukanda wa ziwa tanganyika kijiji kimoja cha ndani kbs(jina nalihifazi). kwa takriban miezi mitatu sasa nimezoena na watu kidogo ila juzi kunambibi jirani yangu anashamba huko milimani akaniambia kuwa shambani kwake anapolima kunamahali akiwa analima anapata shida sana ni sehemu ya mawemawe na jembe linakuwa linakuwa kamalinavutwa chini kama kunausumaku unaolivuta chini sasa anapata shida sana kulima eneo hiloo bc nikamuomba leo jumapili twende wote shambani kwake huku nikajione bc takribani saa moja na nusu tukafika kweli shamba nikaliona na hiyo sehemu nikaoneshwa inamawemawe makubwa makubwa na dizaini kama kunamapango sasa kwa hali kama hy wajuzi wa mambo inawezekan kunamadini gani hapo au ni hali ya kawaida tu
 
Wewe ulienda kuangalia nini (wewe sio "JOLO")
 
Hapo kuna madini mawe na majabari gonga kokoto uuze kwa kila debe achana kuwaza Bill3 alizopata mwenzio kwenye almasi.
 
Huko kijijini ni Mwese, Karema au Ikola? Huko madini yaliyopo ni Copper labda na columbite. Ila usije ukafikiria kuwa wazungu walizika mali utapoteza muda wako.
 
Yani ktk vitu vyote ukawaza madini. Yanaweza kuwa ni mashimo ya chatu
Yawezekana maana kwa wenyeji wanasema miaka ya nyuma wazungu walikuwa wanakuja sana maeneo haya na kwa nature ya eneo hili palivyo porini na kuna makanisa makubwa sana ya kikoloni na mpaka makaburi mengi sana yapo huku mpk unajiuliza kama kwa sasa pako hivi na hata barabara ni ishu mzungu alifatanini huku
 
Huko kijijini ni Mwese, Karema au Ikola? Huko madini yaliyopo ni Copper labda na columbite. Ila usije ukafikiria kuwa wazungu walizika mali utapoteza muda wako.
Mkuu mimi sinauzoefu na madini kabisa na sikuja kwa ishu hiyo hii mambo imenikuta tu na nikaona nijaribu kufatilia huwenda likawa zali langu ila nashukuru kwa taarifa
 
Picha mkuu
 
Kama mzungu aliishapaona akapaacha hata usijisumbue mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…