Yaani, yule mfanyabiashara wa soko la tandale kama sijakosea alikuwa na haki ya kumfokea yule Meya, sasa na sisi wananchi wengine sijui tunaweza kufanya hivyo kwa viongozi wetu jamani, hali ni mbaya sana,, wee temblea tu kijijini kwenu uangalie mambo yalivyo, inasikitisha kweli...watoo wanashindwa kusoma aah naona huruma,,,