Je, kwa mara ya kwanza ulipopata like/comment kutoka kwa Maxence Melo ulijisikiaje?

Kwa Mkurugenzi Melo,huwa anatoa like kama yote...sawa na Paskal Mayala tu..

sio sawa na wengine kutoa 'like' hadi waanze kuchungulia profile.!
 
Sasa ndio naamini kweli shule zimefungwa
Hahahahaa! Mtoto kachezea simu sio!

Sometimes vitu kama hivi muhimu mzee sio muda wote mnajadili vitu konki tu! Ndio maana mzee wa Liquid Pierre kapata kiki kirahisi sana kwa sababu watu wanapenda utani pia ku-refresh.
 
Hahahahaa! Mtoto kachezea simu sio!

Sometimes vitu kama hivi muhimu mzee sio muda wote mnajadili vitu konki tu! Ndio maana mzee wa Liquid Pierre kapata kiki kirahisi sana kwa sababu watu wanapenda utani pia ku-refresh.
Sasa hili ni tatizo kubwa ndo maana hata kwenye mitandao ming wenye follows ni kina gigmoney na sio kina mbowe au prof kabudi
 
Mbona kawaida sana...Halafu Maxence Melo yupo Cool sana na pia ni mtu poa sana tu.
Huyo jamaa ni tofauti sana na watanzania wengi.!
Hana majivuno wala kujiskia japo kuna baadhi ya member humu walifikia kumtukana kwenye baadhi ya posti na komenti zao lakini jamaa hakuwahi kutukana wala kuwaondoa jukwaani na bila kusahau amesota selo ili kulinda Id zetu na watu wasiojulikana.!
Mungu amzidishie.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ule msemo alousema bungeni huwa haunitoki alitoa jicho had povu mdomoni likajaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah una kumbukumbu sana hahah.

Afu hio mambo ya kujaza mate sijui hajijuagi au ndio uzee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…