je kwa mtazamo duni!!! WARIOBA!

je kwa mtazamo duni!!! WARIOBA!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Hivi ktk mtizamo duni kabisa J.S WARIOBA katika uadilifu wake na utumishi wake uliotukuka na ktk itikadi yake iliyozama ndani ya chama cha mapinduzi,je angeliweza kweli "kubuni" mapendekezo ya watanzania kuhusiana na suala la serikali tatu,ili kui favor CDM
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom