Hivi ktk mtizamo duni kabisa J.S WARIOBA katika uadilifu wake na utumishi wake uliotukuka na ktk itikadi yake iliyozama ndani ya chama cha mapinduzi,je angeliweza kweli "kubuni" mapendekezo ya watanzania kuhusiana na suala la serikali tatu,ili kui favor CDM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.