Je, kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA Halima Mdee ni Mwanachama au siyo Mwanachama wa CHADEMA?

Je, kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA Halima Mdee ni Mwanachama au siyo Mwanachama wa CHADEMA?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kufuatia kusudio la Halima James Mdee na wenzake 18 la kukata rufaa Baraza Kuu la CHADEMA wakipinga maamuzi ya Kamati Kuu ya kuwavua uanachama, kwa sasa hadhi yao ikoje?

Ni wanachama wafu ambao Baraza Kuu linaweza kuwafufua au siyo wanachama na kwahiyo siyo Wabunge?

Naomba vifungu vya Katiba.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mbowe kukosa ubunge safari hii imekuwa shida kwa wengine. Mwaka 2010 alisema uchaguzi haukuwa huru na hawakumtambua raisi lkn kwa kuwa mbowe na genge lake walichaguliwa hawakususia bunge, kadhalika mwaka 2015 hivo hivo walidai uchaguzi haukuwa huru, pia hata ule wa kinondoni uliosababisha maandamano na Aqualini kupigwa risasi pia walidai sio huru lkn bungeni waliingia na mpunga wa ruzuku walivuta kama kawa.

So iweje mwaka huu baada ya yeye kushindwa ndio imekuwa nongwa? Eti kwa vile yeye kaangukia pua basi na wengine wasifike bungeni!
 
Mbowe kukosa ubunge safari hii imekuwa shida kwa wengine. Mwaka 2010 alisema uchaguzi haukuwa huru na hawakumtambua raisi lkn kwa kuwa mbowe na genge lake walichaguliwa hawakususia bunge...
Kutojua kutumia kondomu kumeleta viumbe wa ajabu duniani.
 
Mbowe kukosa ubunge safari hii imekuwa shida kwa wengine. Mwaka 2010 alisema uchaguzi haukuwa huru na hawakumtambua raisi lkn kwa kuwa mbowe na genge lake walichaguliwa hawakususia bunge, kadhalika mwaka 2015 hivo hivo walidai uchaguzi haukuwa huru, pia hata ule wa kinondoni uliosababisha maandamano na Aqualini kupigwa risasi pia walidai sio huru lkn bungeni waliingia na mpunga wa ruzuku walivuta kama kawa.

So iweje mwaka huu baada ya yeye kushindwa ndio imekuwa nongwa? Eti kwa vile yeye kaangukia pua basi na wengine wasifike bungeni!

Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Tanzania ilikuwa inaweza kushitakiwa kwenye mahakama ya Afrika, sasa hivi kuna nongwa gani baada ya Magufuli kuwa rais? Kirahisi hivyo yaani.
 
Mbowe kukosa ubunge safari hii imekuwa shida kwa wengine. Mwaka 2010 alisema uchaguzi haukuwa huru na hawakumtambua raisi lkn kwa kuwa mbowe na genge lake walichaguliwa hawakususia bunge, kadhalika mwaka 2015 hivo hivo walidai uchaguzi haukuwa huru, pia hata ule wa kinondoni uliosababisha maandamano na Aqualini kupigwa risasi pia walidai sio huru lkn bungeni waliingia na mpunga wa ruzuku walivuta kama kawa.

So iweje mwaka huu baada ya yeye kushindwa ndio imekuwa nongwa? Eti kwa vile yeye kaangukia pua basi na wengine wasifike bungeni!
Mnazunguka tu, kosa kubwa ni halima na genge lake kwenda kujiapisha bila kupendekezwa na chama.Kosa hili ni kosa kubwa Sana, halima ameihujumu chadema kwa mikono yake mwenyewe.Adhabu aliyopewa halima inastahili
 
Back
Top Bottom