Shabby kng
Member
- Jul 4, 2013
- 41
- 6
Ndugu zangu wana jf natanguliza salam. Eti wana jf je mtu anaweza anaweza kusoma MD akatokea ngazi ya diploma clinical officer kwa kutumia cheti cha form4 tu. Maana naskia huyu co mwenye cheti cha form4 mpaka apite (AMO) yani advanced diploma ya medicine eti wana jf ni kwel? Naombeni msaada wenu wana jf. Matusi hayana tija kunijenga kimawazo na mimi nikaelewa