Je! kwa sifa hizi nitapata mkopo?

Je! kwa sifa hizi nitapata mkopo?

mbusage

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
447
Reaction score
122
Jamani naombeni mawazo yenu mimi nilimaliza kidato cha 6 sita mwaka 2011 na kupata division 3 ya 15 na kupata principle moja na subsidiary but now nataka kurudia mitihani mitatu ili miwili yani english na history na GS kama kawa .

Je! nikipata principle moja nikaunganisha na ile niliopata mwaka 2011. Je! nitapata mkopooo?nataka kusomea education…!!
 
Back
Top Bottom