GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ndiyo maana GENTAMYCINE nilikataa na hadi leo naendelea Kukataa kuwa Ligi Kuu yetu ya NBC Premier League ni Bora na ni ya Tano ( 5 ) kwa Ubora Afrika.
Ila nikiambiwa kuwa Ligi Kuu yetu ni ya Tano ( 5 ) kwa kuwa na Hamasa Barani Afrika GENTAMYCINE nitakubaliana nayo kwa 100% ila kwa Ubora Kiuchezaji, Kimafanikio na Kimaendeleo nitakataa hadi Pumzi yangu ya mwisho hapa duniani.
Yaani kila mwaka tu CAF wakiteua Waamuzi wa Kuchezesha Michuano mikubwa ya Kimataifa Tanzania haitoi / hatutoi hata Mmoja halafu leo Mijitu mizima Mipumbavu ( Mipopoma ) na Elimu zao Mchanganyiko inadanganywa kuwa Ligi yetu Kuu ya Tanzania ( NBC Premier League ) ni ya Tano ( 5 ) kwa Ubora Afrika na inaamini.
Hovyo kabisa......!!
Ila nikiambiwa kuwa Ligi Kuu yetu ni ya Tano ( 5 ) kwa kuwa na Hamasa Barani Afrika GENTAMYCINE nitakubaliana nayo kwa 100% ila kwa Ubora Kiuchezaji, Kimafanikio na Kimaendeleo nitakataa hadi Pumzi yangu ya mwisho hapa duniani.
Yaani kila mwaka tu CAF wakiteua Waamuzi wa Kuchezesha Michuano mikubwa ya Kimataifa Tanzania haitoi / hatutoi hata Mmoja halafu leo Mijitu mizima Mipumbavu ( Mipopoma ) na Elimu zao Mchanganyiko inadanganywa kuwa Ligi yetu Kuu ya Tanzania ( NBC Premier League ) ni ya Tano ( 5 ) kwa Ubora Afrika na inaamini.
Hovyo kabisa......!!