Wakuu habarini za wakati huu natumahi muu wazima wa Afya me upande wangu me ni mzima kabisa..
Moja kwa moja naomba mnipe ushauri nina mdogo wangu alimaliza kidato cha nne mwaka jana ila wamempangia combination ambayo hajaipenda ya arts ambapo yeye alisoma sayansi na matokeo yake alipata div 3, 26 Civ D, Hist C, Geo D, kiswa C, Phy D, Eng D, Chem C, Bio C na B/math F.
Kati ya course pendekezwa ni nursing,pharmacy na clinical officer na pia vyuo vya serikali ambavyo vinatoa course hizo na je kwa ufaulu inawezekana kwenda diploma au itabidi kuanzia certificate?
Nitashukuru sana kwa maoni na ushauri wenu nipo hapa kupokea..
Moja kwa moja naomba mnipe ushauri nina mdogo wangu alimaliza kidato cha nne mwaka jana ila wamempangia combination ambayo hajaipenda ya arts ambapo yeye alisoma sayansi na matokeo yake alipata div 3, 26 Civ D, Hist C, Geo D, kiswa C, Phy D, Eng D, Chem C, Bio C na B/math F.
Kati ya course pendekezwa ni nursing,pharmacy na clinical officer na pia vyuo vya serikali ambavyo vinatoa course hizo na je kwa ufaulu inawezekana kwenda diploma au itabidi kuanzia certificate?
Nitashukuru sana kwa maoni na ushauri wenu nipo hapa kupokea..