mkuu mimi binafsi nikikabiziwa timu ya wachezaji wa mbira 30, sidhani uzembe huo na adhabu yake kali naweza kumpanga mchezaji mmoja mwenye makosa na kubadilisha matokeo ya points za timu ninayo ikoontrolHata real madrid msimu uliopita walichezesha mchezaji mwenye kadi nyekundu kimakosa kwenye copa del rey na wakatolewa kwenye michuano
Kwa kesi ya madrid ni kwa sababu kocha aliyekabidhiwa timu(Rafael Benitez) hakufikishiwa taarifa kamili za huyo mchezaj mana hata hivyo huyo mchezaj alikua timu nyingne msimu wa nyuma ambako ndiko alikopata hiyo kadi nyekundu,sijui kwa kagera ilikuajemkuu mimi binafsi nikikabiziwa timu ya wachezaji wa mbira 30, sidhani uzembe huo na adhabu yake kali naweza kumpanga mchezaji mmoja mwenye makosa na kubadilisha matokeo ya points za timu ninayo ikoontrol
mkuu kesi ya kagera ilikua wao walimchezesha mchezaji Fhaki Mohamed wakati wakijua mchezaji huyo ana kadi tatu za njano.Kwa kesi ya madrid ni kwa sababu kocha aliyekabidhiwa timu(Rafael Benitez) hakufikishiwa taarifa kamili za huyo mchezaj mana hata hivyo huyo mchezaj alikua timu nyingne msimu wa nyuma ambako ndiko alikopata hiyo kadi nyekundu,sijui kwa kagera ilikuaje
Walikua hawana kumbukumbumkuu kesi ya kagera ilikua wao walimchezesha mchezaji Fhaki Mohamed wakati wakijua mchezaji huyo ana kadi tatu za njano.
Tatizo ilikua ni kumbukumbumkuu kesi ya kagera ilikua wao walimchezesha mchezaji Fhaki Mohamed wakati wakijua mchezaji huyo ana kadi tatu za njano.
uzembe mtupuWakuu,
Nimeguswa na tukio la Kagera sukari kunyanganywa points 3, baada ya kumchezesha mchezaji wao aliekuwa na kadi tatu za njano, ninacho taka kujua mimi ni kama kwenye vilabu vya nchi za wenzetunako uzembe huo wa viongozi kupanga wachezaji wanaojua kuwa wana makosa na kupelekea tiu kunyang'anywa points.
Alikuwa ni Denis Cheryshev mechi dhidi ya Cadiz! Na ndio iliyomuongezea benitez gundu la kutimuliwa!Hata real madrid msimu uliopita walichezesha mchezaji mwenye kadi nyekundu kimakosa kwenye copa del rey na wakatolewa kwenye michuano
YahAlikuwa ni Denis Cheryshev mechi dhidi ya Cadiz! Na ndio iliyomuongezea benitez gundu la kutimuliwa!
Cherychev alikuwa kwa mkopo Villarreal na huko Villarreal alipata kadi sasa kurudi real Madrid hawakulifamu hilo tena mwaka umepitaAlikuwa ni Denis Cheryshev mechi dhidi ya Cadiz! Na ndio iliyomuongezea benitez gundu la kutimuliwa!
ahaa! kwa hivyo jibulangu ni ulaya hakuna ujingaujinga unaojirudiarudia kama wa hapa kwetu, kwao haupoCherychev alikuwa kwa mkopo Villarreal na huko Villarreal alipata kadi sasa kurudi real Madrid hawakulifamu hilo tena mwaka umepita
Tofauti na hawa wakwetu ni wazembe sana ndani ya timu moja msimu mmoja miezi michache
Ni Mapompopoo!!Cherychev alikuwa kwa mkopo Villarreal na huko Villarreal alipata kadi sasa kurudi real Madrid hawakulifamu hilo tena mwaka umepita
Tofauti na hawa wakwetu ni wazembe sana ndani ya timu moja msimu mmoja miezi michache