Hahaha ha gumbo sna niuonevu mkubwa uto amefanyiwaNimefanya utafiti Baada ya droo za CAFCL kutoka tarehe 12 na nimepata kugundua kuwa mechi ya Yanga na mamelodi ndio mechi inayoteka hisia zaidi kuliko Even mechi zote ......
Makolo pia wameendelea kuingia kwenye mfumo wa Yanga Kwa kuzungumzia mechi hii zaidi ....huku wengine wakisahau yao
Takwimu: Kwenye Kila wa Tanzania 10, 7 kati yao wanaizungumzia Yanga zaidi.
Je tatizo ni ukubwa wa hizi timu, playing style zake?
View attachment 2939896
Mamelod wangapi wameitwa timu ya taifa?Yanga imeshaanza kuchezewa rafu mapemaaaa... wachezaji wengi wamekanyagwa na wengi wameitwa na timu zao za taifa
Yanga imechukua kombe mara mbili mfululizo swali nalokuuliza mpaka sahivi malinzi ni kiongozi wa TFFKwamba hilo ní jasho lao kwà kuingia mara kwà mara robo fainali sio wale wanaochukuaga ubingwa kwahisani za akina Malinzi aliyeitangazia dunia kamwe SIMBA haiwezi kuchukua ubingwa yy akiwa Rais wa TFF
muhimu tutashangaa hilo likitokea...Hilo si jambo la kusubir ni jambo la kuaminika kabisa.
AahaaaaNimefanya utafiti Baada ya droo za CAFCL kutoka tarehe 12 na nimepata kugundua kuwa mechi ya Yanga na mamelodi ndio mechi inayoteka hisia zaidi kuliko Even mechi zote ......
Makolo pia wameendelea kuingia kwenye mfumo wa Yanga Kwa kuzungumzia mechi hii zaidi ....huku wengine wakisahau yao
Takwimu: Kwenye Kila wa Tanzania 10, 7 kati yao wanaizungumzia Yanga zaidi.
Je tatizo ni ukubwa wa hizi timu, playing style zake?
View attachment 2939896
Aminmuhimu tutashangaa hilo likitokea...
Sema ni Mamelodi, unaficha nn hapa.Mshindi wa mechi hii ndiye atakuwa bingwa wa mwaka huu.
5-0 tulizowakanda wake zetu utopolo5[emoji113]
Mkuu mimi ni Yanga lakini hii comment yako imenichekesha sanaHata mimi nikisikia USA na Burundi wanatunishiana Misuri ya Kijeshi lazima nishangae bana.
Mechi gumzo kiingilio bureHii ni aibu mkuu
Hata hiyo Mechi ujue inachekesga sana.Mkuu mimi ni Yanga lakini hii comment yako imenichekesha sana