Je, kwanini MO huonekana tu pale timu ikishinda?

Mume wa mleta mada ana Kazi Kwelikweli kufuga kiumbe cha hivi.
Huyu dada Kila siku ni vichambo tu humu jf . Kutwa nzima nyuzi 100 za kuichamba simba . Kwa Hali hii sidhani kama kuna wifi au shemeji yako upande wa mumeo mnayepatana naye
 
Mume wa mleta mada ana Kazi Kwelikweli kufuga kiumbe cha hivi.
Huyu dada Kila siku ni vichambo tu humu jf . Kutwa nzima nyuzi 100 za kuichamba simba . Kwa Hali hii sidhani kama kuna wifi au shemeji yako upande wa mumeo mnayepatana naye
Sawa dada

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…