Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wenzetu Malawi wameshaanza kutumia huduma ya starlink toka mwezi July sisi Tanzania tunasubiri nini au waziri wa mawasiliano anakazia ni nini hasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Starlink ndo Nini nisaidie!Wenzetu malawi wameshaanza kutumia huduma ya starlink toka mwezi July sisi tanzania tunasubiri nini au waziri wa mawasiliano anakazia ni nini hasaView attachment 2772936
Hivi dpw wana ofisi bongo!?waziri mwenye dhamana alishasema hawana ofisi tanzania.
Wenzetu malawi wameshaanza kutumia huduma ya starlink toka mwezi July sisi tanzania tunasubiri nini au waziri wa mawasiliano anakazia ni nini hasaView attachment 2772936
😂🤣🤣waache janja janja, walete ufisi Tz
😂waache janja janja, walete ufisi Tz
satellite internetStarlink ndo Nini nisaidie!
Ana taka wawe na ofisi bongoWaziri napa anasemaje kwani
Ova
Naunga mkono hojaSatellite Internet wataizuia sasa hivi ila Dunia inakokwenda hawataweza kuzuia...
Naunga mkono hoja 👍👏Mitandao ya simu yote tz watakuwa awaudhi tena internet, kuna watu wengi wanazo bongo wanatumia na wanagiza kutoka kenya. Iko fast sana na TCRA nadhani awajui maana zilitumika sana ukraine. Sijajuwa kama TCRA wanaweza kutrack Satellite Internet za watu ambazo wanazo mitaani, mm mwenyewe ntaitaguta nijaribu maana sio bei wala nn, nasikia 300MBps
Shule za Rwanda kutumia internet ya Starlink
Taasisi ya TonyBlair imetangaza kufanya kazi na serikali ya Rwanda kwa ajili ya kuunganisha huduma ya Internet kutoka katika kampuni ya SpaceX ''StarLink'' iliyopo chini ya Elon Musk. Mapema mwezi March mwaka huu, Wizara ya Elimu kutokea nchini Rwanda ilianza kwa kuunganisha huduma hiyo kwa...www.jamiiforums.com
Shule za Rwanda kutumia internet ya Starlink
Ipo ya airtel kwa siku mb 88Nasikia Kuna free data VPN, anaye jua afunguke maana hizi bando za kibongo ni mufilisi
Naipataje hy mkuuIpo ya airtel kwa siku mb 88