Je, kwanini wasikiliza Radio Free Africa na Clouds huwa wanafungulia sauti za juu sana?

Je, kwanini wasikiliza Radio Free Africa na Clouds huwa wanafungulia sauti za juu sana?

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nannyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa kichwa kinavyosomeka hapo juu

Imekuwa ni kawaida sana kila nipitapo unakuta mtu kafungulia saut ya juu kabisa huku ikisema JE HUU NI UNGWANA? LAHASHA HUU SI UNGWANA Kipindi kinachorushwa na radio free afrika ya wilayan ilemela

Pia vile vile ni mara nyingi ukipita mitaan hasa asubuh utakuta watu wameweka saut ya juu sana wakisikiliza clouds

Tofaut na wasilikilizaji wa radio zingine ambao husikiliza kwa saut za chin sana na kistarabu sana

Sasa bas ni kwanini wasikilizaji wa radio free africa ya mwanza na clouds ya dar huwa wanapandisha sana saut za radio wakiwa wanasikiliza radio zao

Na kuna kitu kingine nimekiona hivi clouds huwa inasikilizwa asubuh tu na mchana huzimwa au shida iko wapi mbona sijawah sikia mtu akisikiliza radio clouds mchana, jion au usiku? Au mchana, jion na usiku hawana vipind vizur au shida iko wapi


LONDON BOY
 
RFA huuuuuuuuuuuu!! Safi hiyoooo! Tccccccccccccccrfaaaaa...mwanza.UNASIKILIZA RADIO FREE AFRICA! HAKUNA SHIDA...neno hilo..
RFA enzi hizo buana! Siku hizi hamna kitu kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Labda wengi hua hawatosheki kusililiza peke yao hivyo wanakushirikisha na wew usikie
 
RFA ina bezi mojaa zito sana,ukiwa na bufa la maana unaenjoy sana kuisikiliza
 
RFA huuuuuuuuuuuu!! Safi hiyoooo! Tccccccccccccccrfaaaaa...mwanza.UNASIKILIZA RADIO FREE AFRICA! HAKUNA SHIDA...neno hilo..
RFA enzi hizo buana! Siku hizi hamna kitu kabisa.
Umenikumbushaa zuberiiiii musabaaaaaah.....na mambo mambo eeeehhh

Daaaaah kweli rfa enziii zileee
 
RFA huuuuuuuuuuuu!! Safi hiyoooo! Tccccccccccccccrfaaaaa...mwanza.UNASIKILIZA RADIO FREE AFRICA! HAKUNA SHIDA...neno hilo..
RFA enzi hizo buana! Siku hizi hamna kitu kabisa.
Saiv angalau anaepeperusha hii Radio ni Chaz Machuguu[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Umesema kuhusu clouds kutokusikilizwa mchana..hakuna kipindi chenye wasikilizaji wengi kama pale clouds kama xxl na hii ni kwa mujibu wa tafiti za Geopoll za mwaka jana.
 
Clouds ni ya wazaramo,msuto ndiyo dili[emoji16]RFA ni ya wasukuma kelele kwao ni dini.[emoji16][emoji16]unategemea tofauti kwa mashabiki wao?
 
Umesema kuhusu clouds kutokusikilizwa mchana..hakuna kipindi chenye wasikilizaji wengi kama pale clouds kama xxl na hii ni kwa mujibu wa tafiti za Geopoll za mwaka jana.
Hicho kipind ni cha muda gan
 
Back
Top Bottom