wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Kufuatia ongezeko la kodi ya makato ya utumaji na utoaji pesa kwa njia mtandao masikia kuna laini ukienda kituo cha mtandao unaotumia unaenda na tin namba na leseni yaa biashara unapewa hiyo laini yenye namba ambayo ukitumia kutuma au kutoa pesa hukatwi chochote je!
Ni kweli au mimi nimesikia vibaya mwenye kujua plies atufafanulie hili.
Hii inaweza kuwa nafuu ya kukimbilia kama ni kweli.
Ni kweli au mimi nimesikia vibaya mwenye kujua plies atufafanulie hili.
Hii inaweza kuwa nafuu ya kukimbilia kama ni kweli.